Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi

  • Mahmoud Abbas ampongeza Rais Bashar al Assad kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa Syria

    Mahmoud Abbas ampongeza Rais Bashar al Assad kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa Syria

    May 30, 2021 02:45

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amemtumia ujumbe wa maandishi Rais Bashar al Assad na kumpongeza kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa Syria.

  • Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kufanyika uchaguzi kama ilivyopangwa

    Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kufanyika uchaguzi kama ilivyopangwa

    Mar 29, 2021 04:20

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa uchaguzi wa bunge nchini humo utafanyika kama ilivyopangwa yaani tarehe 10 mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Chama cha Waarabu kina turufu ya kuamua hatima ya uchaguzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Chama cha Waarabu kina turufu ya kuamua hatima ya uchaguzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 26, 2021 02:56

    Chama kidogo cha Orodha ya Muungano wa Waarabu (UAL) kimefanikiwa kushinda idadi muhimu ya viti katika uchaguzi wa Israel na kukipa turufu ya kuchagua waziri mkuu ajaye wa utawala huo wa Kizayuni.

  • Uafriti wa Israel wa kutaka kuvuruga uchaguzi wa Palestina

    Uafriti wa Israel wa kutaka kuvuruga uchaguzi wa Palestina

    Mar 23, 2021 02:44

    Mkuu wa shirika la usalama wa ndani la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shin Bet amemtaka Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina aghairishe uchaguzi wa Palestina ikiwa harakati ya Hamas itashiriki katika uchaguzi huo.

  • Badran: Israel inaogopa ushindi wa Hamas katika uchaguzi ujao

    Badran: Israel inaogopa ushindi wa Hamas katika uchaguzi ujao

    Mar 21, 2021 07:42

    Mwanachama mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na kiwewe na wahaka mkubwa ukifahamu vyema kuwa harakati hiyo ya muqawama itaibuka mshindi katika uchaguzi ujao wa Palestina hususan katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Makundi ya Palestina yasisitiza kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi

    Makundi ya Palestina yasisitiza kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi

    Mar 19, 2021 02:44

    Makundi ya Palestina yametoa taarifa mwishoni mwa kikao chao huko Cairo mji mkuu wa Misri yakikisisitizia kufanyika uchaguzi na kuunda chombo kimoja cha uongozi.

  • Netanyahu aahidi kuteua waziri wa kwanza Mwislamu katika serikali ya Israel, iwapo atashinda

    Netanyahu aahidi kuteua waziri wa kwanza Mwislamu katika serikali ya Israel, iwapo atashinda

    Feb 06, 2021 12:04

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ameahidi kuwa iwapo atashinda uchaguzi ujao huko Israel atateua waziri wa kwanza Mwarabu na Mwislamu katika serikali ya utawala huo.

  • HAMAS yatoa onyo dhidi ya uingiliaji wowote wa kuvuruga uchaguzi wa Palestina

    HAMAS yatoa onyo dhidi ya uingiliaji wowote wa kuvuruga uchaguzi wa Palestina

    Feb 05, 2021 07:33

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa onyo dhidi ya hatua yoyote ya kujaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi ujao wa Palestina.

  • Al Barghouthi: Uchaguzi ni utangulizi wa kufikiwa umoja wa kitaifa Palestina

    Al Barghouthi: Uchaguzi ni utangulizi wa kufikiwa umoja wa kitaifa Palestina

    Feb 04, 2021 04:26

    Katibu Mkuu wa Vuguvugu la Ubunifu wa Kitaifa la Palestina amesisitiza kuwa uchaguzi ni utangulizi wa kuhitimishwa mpasuko na mgawanyiko na kufikiwa umoja wa kitaifa wa Palestina.

  • Marekani katika lindi la machafuko ya kisiasa

    Marekani katika lindi la machafuko ya kisiasa

    Jan 07, 2021 09:56

    Machafuko, fujo, vurugu, uporaji, ufyatuaji risasi, mauaji, ugaidi, mapinduzi, kukabiliana na mapinduzi; bali kwa kifupi; kashfa ya taifa, ndiyo maneno ambayo kila moja linafasiri matukio ya aibu yaliyotokea jana Jumatano, Januari 6, 2021 nchini Marekani ndani jengo la Congress

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS