Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchumi wa Iran

  • Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    May 27, 2020 03:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaka Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lililoanza shughuli zake leo Jumatano kuelekeza darubini na kujikita zaidi katika masuala ya uchumi wa kimuqawama na utamaduni.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kupatiwa ufumbuzi matatizo ya kiuchumi kwa kuweko ushirikiano

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kupatiwa ufumbuzi matatizo ya kiuchumi kwa kuweko ushirikiano

    Oct 12, 2018 04:28

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika mazungumzo yake na wakuu wa mihimili mikuu mitatu ya dola kuhusiana na masuala ya uchumi kwamba, matatizo ya kiuchumi hapa nchini yanatokana na changamoto za ndani na muundo wa kiuchumi hapa nchini huku matatizo mengine yakisababishwa na vikwazo vya kidhulma vya Marekani.

  • Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Oct 17, 2016 23:39

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya kuanza utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1 ambayo ni maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA, uzalishaji wa mafuta wa Iran umekaribia kiwango cha kabla ya vikwazo, yaani mapipa milioni nne na laki mbili kwa siku.

  • IMF: Uchumi wa Iran unastawi kwa kasi baada ya JCPOA

    IMF: Uchumi wa Iran unastawi kwa kasi baada ya JCPOA

    Oct 04, 2016 01:15

    Mfuko wa Fedha Duniani IMF umesema uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unakuwa kwa kasi kubwa kufuatia kutekelezwa kwa makubaliano ya nyuklia unaofahamika kama Mpango Kamili ya Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Salehi: Uchumi wa Iran unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi

    Salehi: Uchumi wa Iran unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi

    Sep 30, 2016 00:58

    Makamu wa Rais wa Iran, ambaye pia ni Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki amesema uchumi wa taifa hili unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi.

  • Velayati: Marekani na Saudia zinavunja sheria kwa kuingilia mambo ya ndani ya Syria

    Velayati: Marekani na Saudia zinavunja sheria kwa kuingilia mambo ya ndani ya Syria

    Aug 13, 2016 22:34

    Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Marekani na Saudi Arabia zinaingilia mambo ya ndani ya Syria bila ya idhini ya serikali ya nchi hiyo na kwamba uwepo wa nchi hizo huko Syria ni kinyume cha sheria.

  • Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Apr 29, 2016 23:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeonya kuhusu kuenea ugaidi na misimamo mikali duniani na kusema jamii ya kimataifa inapasa kushirikiana kukabiliana na uovu huo.

  • Ali Tayyebnia: Mazingira yameandaliwa ya kustawishwa uhusiano kati ya Iran na Afrika Kusini

    Ali Tayyebnia: Mazingira yameandaliwa ya kustawishwa uhusiano kati ya Iran na Afrika Kusini

    Apr 23, 2016 11:40

    Waziri wa Uchumi na Hazina wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kumeandaliwa mazingira mazuri kwa ajili ya kustawishwa uhusiano kati ya Iran na Afrika Kusini katika nyanja mbalimbali.

  • Rais Rouhani asisitiza kutekelezwa sera za Uchumi wa Muqawama

    Rais Rouhani asisitiza kutekelezwa sera za Uchumi wa Muqawama

    Mar 21, 2016 23:07

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa serikali yake itatekeleza sera za Uchumi wa Muqawama.

  • Rouhani: Uchumi wa Iran kustawi kwa 5%

    Rouhani: Uchumi wa Iran kustawi kwa 5%

    Mar 20, 2016 12:16

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema nchi hii inalenga kuwa na ustawi wa kiuchumi wa asilimia tano katika mwaka mpya wa Kiirani ulioanza Machi 20.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS