Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mgogoro na machafuko vyaendelea nchini Ufaransa, wananchi wapinga ukatili na ubaguzi wa rangi

    Mgogoro na machafuko vyaendelea nchini Ufaransa, wananchi wapinga ukatili na ubaguzi wa rangi

    Jul 01, 2023 06:07

    Kuendelea mgogoro wa kijamii na machafuko yaliyoenea nchini Ufaransa kumeibua hisia tofauti katika ngazi ya viongozi na wanasiasa wa nchi hiyo, na katika ngazi ya Ulaya na dunia nzima kwa ujumla.

  • Ufaransa yapiga marufuku hijabu katika mashindano ya soka

    Ufaransa yapiga marufuku hijabu katika mashindano ya soka

    Jun 30, 2023 04:09

    Mahakama Kuu ya Utawala nchini Ufaransa imetoa kibali kwa Shirikisho la Soka la nchi hiyo cha kupiga marufuku vazi la hijabu katika mashindano ya soka ya wanawake.

  • Afisa wa Yemen: Tulikomesha wizi wa mafuta uliofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa

    Afisa wa Yemen: Tulikomesha wizi wa mafuta uliofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa

    Jun 28, 2023 09:45

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Kitaifa ya Wokovu wa Yemen amejibu kauli iliyotolewa na mabalozi wa Ufaransa, Uingereza na Marekani akisisitiza kuwa, kinyume na madai yaliyotolewa katika taarifa yao, Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen haikuzuia mauzo ya mafuta nje ya nchi, lakini ilizuia wizi wa bidhaa hiyo.

  • Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Jun 24, 2023 07:49

    Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imekanusha madai ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron kwamba Russia inavuruga utulivu barani Afrika na kuituhumu Moscow kwamba imetuma makundi ya mamluki barani humo.

  • Russia yapinga kushiriki Macron katika mkutano wa BRICS

    Russia yapinga kushiriki Macron katika mkutano wa BRICS

    Jun 24, 2023 07:13

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov alitangaza Alhamisi iliyopita kwamba Moscow haidhani kuwa Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ataruhusiwa kuhudhuria mkutano ujao wa kundi la BRICS nchini Afrika Kusini, kwa sababu Paris inatekeleza sera ya chuki dhidi ya Moscow.

  • Algeria yaikosoa Ufaransa kwa kuingilia wimbo wake wa taifa

    Algeria yaikosoa Ufaransa kwa kuingilia wimbo wake wa taifa

    Jun 23, 2023 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameijia juu Ufaransa kwa kujiingiza kwenye mjadala kuhusu wimbo wa taifa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Cameroon: Hatutamruhusu balozi wa Ufaransa kuja nchini kupigia debe ushoga

    Cameroon: Hatutamruhusu balozi wa Ufaransa kuja nchini kupigia debe ushoga

    Jun 22, 2023 03:36

    Serikali ya Cameroon imesema haitamruhusu kuingia nchini humo balozi wa Ufaransa wa kutetea na kushajiisha vitendo vya ushoga, usagaji na watu kubadili jinsia zao (LGBT).

  • Takwa la Rais wa Ufaransa kwa Ulaya la kujiepusha na utegemezi wa kijeshi kwa Marekani

    Takwa la Rais wa Ufaransa kwa Ulaya la kujiepusha na utegemezi wa kijeshi kwa Marekani

    Jun 20, 2023 08:33

    Jumatatu ya jana tarehe 19 Juni, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alizitaka nchi za Ulaya kutafuta uhuru zaidi katika ulinzi wa anga zao na kuacha kuwa tegemezi kupita kiasi kwa Marekani.

  • Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Jun 17, 2023 23:17

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.

  • Mwenendo unaoongezeka wa vitisho dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa

    Mwenendo unaoongezeka wa vitisho dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa

    Jun 17, 2023 04:28

    Katika miaka ya karibuni, wanasiasa wa Ufaransa wamekuwa wakiwawekea vikwazo Waislamu na kuchochea chuki dhidi ya Uislamu katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS