-
Kufichuliwa kashfa ya kulawitiwa mamia ya watoto katika makanisa ya Katoliki nchini Ufaransa
Oct 05, 2021 23:38Katika miaka ya hivi karibuni kashfa za kubaka na kunajisi za makasisi, maaskofu na maafisa wa kanisa Katoliki nchini Marekani na barani Ulaya zimekabiliwa na wimbi kubwa la ukosoaji dhidi ya Vatican.
-
Watoto laki 3 elfu 30 wamefanyiwa ukatili wa kingono na viongozi wa Kanisa Katoliki
Oct 05, 2021 23:37Ripoti iliyotolewa na jopo huru la uchunguzi imebaini kuwa katika kipindi cha miaka 70 iliyopita karibu watoto laki tatu elfu 30 wamefanyiwa ukatili wa kingono katika makanisa Katoliki na taasisi nyingine za kanisa hilo nchini Ufaransa
-
Ufaransa yataka kuondolewa mivutano katika uhusiano wake na Algeria
Oct 05, 2021 23:36Rais wa Ufaransa ametoa wito wa kuondolewa mivutano katika uhusiano wa nchi hiyo na Algeria.
-
Tunisia yasikitishwa na uamuzi wa Ufaransa wa kupunguza viza kwa raia wake
Oct 04, 2021 00:42Rais Kais Saied wa Tunisia amefanya mazungumzo na simu na Rais mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kueleza kusikitishwa na umauzi uliochukuliwa na Paris wa kupunguza idadi ya viza zilizokuwa zikitolewa kwa raia wa Tunisia wanaotaka kuelekea Ufaransa.
-
Mvutano katika uhusiano wa Algeria na Ufaransa
Oct 03, 2021 13:43Usiku wa Jumamosi iliyopita serikali ya Algeria ilimwita nyumbani balozi wake nchini Ufaransa kwa ajili ya mashauriano ikilalamikia matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron dhidi ya nchi hiyo.
-
Ripoti: Kanisa Katoliki Ufaransa lina maelfu ya makasisi waliolawiti watoto
Oct 03, 2021 09:19Maelfu ya makasisi na maafisa wengine wa Kanisa Katoliki nchini Ufaransa wanakabiliwa na tuhuma za kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kingono watoto wadogo.
-
Taasisi mbalimbali Ufaranza zataka kufichuliwa uuzaji wa silaha wa nchi hiyo kwa Saudia na Imarati
Sep 24, 2021 08:04Taasisi zisizo za serikali nchini Ufaransa zimetaka kuwekwa wazi taarifa ya ushuru wa forodha kuhusu uuzaji silaha wa nchi hiyo kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Programu ya ujasusi ya Israel imedukua simu za mawaziri wasiopungua 5 wa Ufaransa
Sep 24, 2021 04:13Imefichuliwa kuwa programu ya ujasusi ya Israel ya Pegasus imedukua na kufanya ujasusi katika simu za rununu (mobile phone) za mawaziri wasiopungua 5 wa serikali ya Ufaransa.
-
Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa
Sep 23, 2021 22:46Kufuatia mazungumzo ya simu ya Marais Joe Biden wa Marekani na Emmanuel Macron wa Ufaransa hapo siku ya Jumatano, viongozi hao wametoa taarifa ya pamoja wakisema wameamua kuendelea na mashauriano kwa ajili ya kutatua hitilifu zilizojitokeza baina ya pande mbili kuhusu mkataba wa kiusalama wa AUKUS.
-
Rais wa Ufaransa awaomba radhi wananchi wa Algeria
Sep 21, 2021 22:59Hatimaye baada ya kupita miongo mingi tangu Wafaransa watende jinai nchini Algeria na katika hali ambayo, kumekuwa kukifichuliwa nyaraka mpya za jinai hizo, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewaomba radhi wananchi wa Algeria na kuahidi kupasishwa sheria katika siku za usoni ambayo itatoa fidia kwa nchi hiyo ya Kiafrika.