Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya

    Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya

    Mar 26, 2021 22:00

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Ufaransa, Ujerumani na Italia Alkhamisi iliyopita walikwenda Tripoli mji mkuu wa Libya kwa shabaha ya kujadili mustakbali wa uhusiano wa nchi za Ulaya na Libya. Mawaziri hao pia wamesisitiza udharura wa kuondoka vikosi vya majeshi ya kigeni katika ardhi ya Libya.

  • Spishi mpya ya kirusi cha corona yagunduliwa nchini Ufaransa

    Spishi mpya ya kirusi cha corona yagunduliwa nchini Ufaransa

    Mar 16, 2021 08:52

    Idara Kuu ya Afya na Tiba ya Ufaransa imetangaza kugunduliwa spishi mpya ya kirusi cha corona nchini humo.

  • Ufaransa: Azimio dhidi ya Iran litapigiwa kura siku zijazo

    Ufaransa: Azimio dhidi ya Iran litapigiwa kura siku zijazo

    Mar 03, 2021 04:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa azimio la kuikosoa Iran limepangwa kupigiwa kura siku zijazo katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).

  • Hatua mpya ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa

    Hatua mpya ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa

    Feb 18, 2021 22:53

    Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na kushadidi mashinikizo dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa unaonekana kushtadi na kuchukua mkondo mpana zaidi katika miaka ya hivi karibuni katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Bunge la Ufaransa lapitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu

    Bunge la Ufaransa lapitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu

    Feb 17, 2021 04:34

    Bunge la Ufaransa jana Jumanne lilipitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.

  • Kuanza kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika huko Chad

    Kuanza kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika huko Chad

    Feb 16, 2021 22:54

    Kikao cha kundi la nchi 5 za Sahel Afrika kimeanza katika mji mkuu wa Chad N’Djamena kwa kuhudhuriwa na viongozi wa Ufaransa na wa mataifa ya magharibi wa Afrika.

  • Mashauriano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufaransa kuhusu namna ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Mashauriano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufaransa kuhusu namna ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Feb 16, 2021 04:23

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani na Ufanrasa jana usiku walifanya mashauriano kuhusu masuala tofauti yakiwemo jinsi ya kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA na vile vile hali ya msambao wa kasi wa virusi vya corona barani Ulaya.

  • Maandamano ya Paris Ufaransa ya kupinga ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

    Maandamano ya Paris Ufaransa ya kupinga ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

    Feb 15, 2021 08:56

    Mwenedo wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya hususan nchini Ufaransa ungali unaendelea ambapo Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa wakikabiliwa na mashinikizo makubwa.

  • Maandamano yaendelea Paris Ufaransa, kupinga ukandamizaji dhidi ya Waislamu

    Maandamano yaendelea Paris Ufaransa, kupinga ukandamizaji dhidi ya Waislamu

    Feb 15, 2021 04:22

    Maandamano ya wananchi wa Ufaransa ya kupinga sheria kali za kuwakandamiza Waislamu nchini humo yanaendelea hasa dhidi ya mpango mpya wa nchi hiyo ya kuwabana zaidi ya Waislamu.

  • Iran yajibu bwabwaja za Ufaransa juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran yajibu bwabwaja za Ufaransa juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 30, 2021 23:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema silaha za Ufaransa na nchi nyingine za Magharibi ndilo chimbuko kuu la ukosefu wa uthabiti katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS