Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mwanasiasa wa Ufaransa ataka marufuku ya hijabu katika maeneo ya umma

    Mwanasiasa wa Ufaransa ataka marufuku ya hijabu katika maeneo ya umma

    Jan 30, 2021 04:49

    Mwanasiasa mashuhuri wa mrengo wa kulia na mwenye misimamo mikali wa Ufaransa ametoa pendekezo la kupigwa marufuku uvaaji wa vazi la stara la hijabu katika maeneo yote ya umma nchini humo.

  • Rais Macron ashambuliwa kwa kutilia shaka chanjo ya corona

    Rais Macron ashambuliwa kwa kutilia shaka chanjo ya corona

    Jan 30, 2021 04:29

    Wabunge wahafidhina na wanasayansi wa Ulaya wamemjia juu Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kusema kuwa chanjo ya kukabiliana na corona ya shirika la AstraZeneca la Uingereza 'haifanyi kazi' kama ilivyotarajiwa.

  • Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Kukataa kuomba radhi Macron kwa jinai ilizofanya Ufaransa enzi za ukoloni nchini Algeria

    Jan 22, 2021 06:55

    Ufaransa, ambayo ilikuwa moja ya madola ya kikoloni, ina faili chafu na la kuaibisha kuhusiana na uvamizi, ukaliaji ardhi kwa mabavu na vitendo vya jinai ilivyofanya mnamo karne ya 20 katika nchi ilizozikoloni hususan Algeria.

  • Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Macron: Ufaransa haitaiomba radhi Algeria kwa dhulma za enzi za ukoloni

    Jan 21, 2021 00:57

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi hiyo ya Ulaya 'haitatubu' wala kuiomba radhi Algeria kutokana na jinai zilizofanywa na Wafaransa katika zama walipoikoloni nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Waziri wa Ufaransa: Siwezi kuvumilia kuona watoto wadogo wanavaa hijabu

    Waziri wa Ufaransa: Siwezi kuvumilia kuona watoto wadogo wanavaa hijabu

    Jan 19, 2021 03:43

    Waziri mshauri wa masuala ya uraia wa Ufaransa ametoa matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu kwa kutaka uvaaji wa vazi la stara la Kiislamu la Hijabu nchini humo uwekewe mipaka zaidi.

  • Zarif: Nchi za Ulaya katika JCPOA hazijafanya lolote la maana kuyalinda maafikiano hayo ya kimataifa

    Zarif: Nchi za Ulaya katika JCPOA hazijafanya lolote la maana kuyalinda maafikiano hayo ya kimataifa

    Jan 18, 2021 01:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: viongozi wa nchi tatu wanachama wa JCPOA (Ujerumani, Uingereza na Ufaranasa) hazifanya lolote la maana kuyalinda maafikiano hayo ya kimataifa.

  • Wafaransa waua raia 20 waliokuwa harusini nchini Mali

    Wafaransa waua raia 20 waliokuwa harusini nchini Mali

    Jan 06, 2021 09:05

    Duru moja ya matibabu nchini Mali imetangaza kuwa, wanajeshi wa Ufaransa wameshambulia sherehe za harusi katika eneo moja la jangwani, katikati ya Mali na kuua zaidi ya raia 20 baadhi yao wakiwa ni watoto wadogo.

  • Matokeo ya kuendelea kuwepo kijeshi Ufaransa barani Afrika

    Matokeo ya kuendelea kuwepo kijeshi Ufaransa barani Afrika

    Jan 03, 2021 08:53

    Uwepo wa kijeshi wa Ufaransa katika maeneo mbalimbali barani Afrika ungali unaendelea.

  • Marais wa Russia na Ufaransa wataka kulindwa mapatano ya JCPOA

    Marais wa Russia na Ufaransa wataka kulindwa mapatano ya JCPOA

    Dec 23, 2020 08:55

    Marais Vladimir Putin wa Russia na Emmanuel Macron wa Ufaransa wametoa mwito wa kuweko jitihada za pamoja za kuyalinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ikulu ya Ufaransa: Corona imemfanya Macron kukohoa sana, uchovu mwingi na homa kupanda

    Ikulu ya Ufaransa: Corona imemfanya Macron kukohoa sana, uchovu mwingi na homa kupanda

    Dec 18, 2020 23:27

    Ikulu ya Élysée ya Ufaransa imetoa taarifa rasmi kuhusu hali ya kiafya ya rais wa nchi hiyo, Emmanuel Macron baada ya kukumbwa na kirusi cha corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS