Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Viongozi wa EU wajitenga baada ya kutagusana na Macron mwenye Covid-19

    Viongozi wa EU wajitenga baada ya kutagusana na Macron mwenye Covid-19

    Dec 18, 2020 04:18

    Idadi kubwa ya viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejiweka karantini baada ya kutangamana na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ambaye pia amejitenga kwa muda wa siku saba baada ya kukutwa na virusi vya corona.

  • France 24 yakosoa undumakuwili wa Macron kuhusu haki za binadamu

    France 24 yakosoa undumakuwili wa Macron kuhusu haki za binadamu

    Dec 12, 2020 22:16

    Serikali ya Ufaransa inaendelea kukosolewa kwa kuchukua misimamo inayokinzana na madai yake ya kutetea haki za binadamu kutokana na kuonyesha undumakuwili juu ya suala hilo kwa kuendelea kuziuzia silaha tawala kandamizi.

  • Sheria iliyo dhidi ya Uislamu yapasishwa nchini Ufaransa

    Sheria iliyo dhidi ya Uislamu yapasishwa nchini Ufaransa

    Dec 10, 2020 23:24

    Serikali ya Ufaransa imepasisha sheria mpya ya kuzidi kuwabana na kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.

  • Safari ya Rais wa Misri nchini Ufaransa na kupamba moto upinzani na malalamiko dhidi yake

    Safari ya Rais wa Misri nchini Ufaransa na kupamba moto upinzani na malalamiko dhidi yake

    Dec 09, 2020 21:58

    Safari ya hivi karibuni ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri nchini Ufaransa na mazungumzo aliyofanya na Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo vimeibua hasira na malalamiko ya waungaji mkono wa haki za binadamu.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan apendekeza Ulimwengu wa Kiislamu uvunje uhusiano na Ufaransa

    Waziri Mkuu wa Pakistan apendekeza Ulimwengu wa Kiislamu uvunje uhusiano na Ufaransa

    Dec 08, 2020 23:07

    Vyombo vya habari vya Pakistan vimetangaza kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Imran Khan ametoa pendekezo la kuvunjwa uhusiano wa nchi za Kiislamu na Ufaransa.

  • Rais wa Misri atupiwa lawama nyingine

    Rais wa Misri atupiwa lawama nyingine

    Dec 08, 2020 03:58

    Mashirika mengi ya haki za binadamu yamemtupia lawama chungu nzima Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri wakati huu wa ziara yake mjini Paris, Ufaransa.

  • Polisi ya Ufaransa yatumia mkono wa chuma kukandamiza maandamano ya wananchi

    Polisi ya Ufaransa yatumia mkono wa chuma kukandamiza maandamano ya wananchi

    Dec 06, 2020 08:21

    Maelfu ya waandamanaji nchini Ufaransa wamekabiliana na polisi kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Paris, haya yakiwa ni maandamano mapya kupinga muswada wa sheria tata kuhusu usalama.

  • Yamkini Misikiti 76 ikafungwa Ufaransa katika kampeni dhidi ya Waislamu

    Yamkini Misikiti 76 ikafungwa Ufaransa katika kampeni dhidi ya Waislamu

    Dec 04, 2020 08:34

    Serikali ya Ufaransa imetangaza mpango mkubwa na ambao haujawahi kushuhudiwa wa kufanya upekuzi katika misikiti ya nchi hiyo.

  • Serikali ya Ufaransa yafutilia mbali muswada wa marufuku ya kupigwa picha polisi

    Serikali ya Ufaransa yafutilia mbali muswada wa marufuku ya kupigwa picha polisi

    Dec 02, 2020 23:07

    Serikali ya Ufaransa imefutilia mbali muswada iliokuwa umeuwasilisha bungeni kwa ajili ya kupiga marufuku upigwaji picha maafisa wa polisi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao, na hilo limetokana na ukosolewaji mkali uliofanywa dhidi ya utendaji wa jeshi la polisi.

  • Maandamano makubwa ya kupinga vitendo vya polisi vya utumiaji mabavu na ubaguzi nchini Ufaransa

    Maandamano makubwa ya kupinga vitendo vya polisi vya utumiaji mabavu na ubaguzi nchini Ufaransa

    Nov 30, 2020 23:05

    Kufuatia kuongezeka migogoro ya kijamii na kisiasa nchini Ufaransa katika miezi ya hivi karibuni, kumeshuhudiwa ongezeko la vitendo vya polisi vya utumiiaji mabavu na ubaguzi wa rangi. Maovu hayo ya polisi ya Ufaransa yamepelekea kuibuka maandamano makubwa ya wananchi wanaolalamikia hali hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS