Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Erdogan: Rais wa Ufaransa apimwe uwezo wake wa kiakili baada ya matamshi yake dhidi ya Waislamu

    Erdogan: Rais wa Ufaransa apimwe uwezo wake wa kiakili baada ya matamshi yake dhidi ya Waislamu

    Oct 25, 2020 09:21

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa Rais wa Ufaransa, Emanue Macron, anahitaji kupimwa uwezo wake wa kiakili baada ya matamshi ya kibaguzi aliyotoa karibuni kuhusu dini ya Uislamu.

  • Waislamu waandamana Paris kulaani vitendo vya uchupaji mipaka

    Waislamu waandamana Paris kulaani vitendo vya uchupaji mipaka

    Oct 24, 2020 23:41

    Waislamu kadhaa wanaoishi nchini Ufaransa wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris lengo likiwa ni kulaani vitendo vya ghasia na uchupaji mipaka.

  • OIC yasikitishwa na maafisa wa Ufaransa kumtusi Mtume Muhammad (SAW)

    OIC yasikitishwa na maafisa wa Ufaransa kumtusi Mtume Muhammad (SAW)

    Oct 24, 2020 04:08

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya maafisa wa serikali ya Ufaransa ya kuendelea kumtusi na kumvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).

  • Ufaransa yalaumiwa kwa kuficha tukio la kudungwa visu Waislamu 2 kwenye Mnara wa Eiffel, al Azhar yaalani

    Ufaransa yalaumiwa kwa kuficha tukio la kudungwa visu Waislamu 2 kwenye Mnara wa Eiffel, al Azhar yaalani

    Oct 22, 2020 23:31

    Mashambulizi na hujuma dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa yameongezeka katika siku chache za hivi karibuni kwa kisingizio cha kupambana na "misimamo mikali".

  • Waislamu wafukuzwa Ufaransa kwa kisingizio cha kupambana na misimamo mikali

    Waislamu wafukuzwa Ufaransa kwa kisingizio cha kupambana na misimamo mikali

    Oct 19, 2020 22:59

    Mwenendo wa kuenezwa chuki na kejeli dhidi ya itikadi za Kiislamu umekuwa ukiongezeka kwa kasi kubwa nchini Ufaransa katika miaka ya karibuni.

  • Ufaransa kuwafukuza mamia ya Waislamu kwa kisingizio cha

    Ufaransa kuwafukuza mamia ya Waislamu kwa kisingizio cha "harakati za kuchupa mipaka"

    Oct 19, 2020 11:57

    Serikali ya Ufaransa imekusudia kuwafukuza Waislamu wapatao 231 wanaoishi nchini humo kwa madai ya kujihusisha na vitendo vya kupindukia mpaka.

  • Ufaransa yamshambulia na kumtia mbaroni kiongozi wa taasisi ya Kiislamu

    Ufaransa yamshambulia na kumtia mbaroni kiongozi wa taasisi ya Kiislamu

    Oct 16, 2020 04:17

    Polisi ya Ufaransa imevamia nyumba ya kiongozi wa asasi moja isiyo ya kiserikali ya Waislamu wa nchi hiyo na kumtia mbaroni, katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa hujuma dhidi ya Uislamu na Waislamu wa nchi hiyo ya Ulaya.

  • Serikali ya Ufaransa yafunga baadhi ya misikiti nchini humo

    Serikali ya Ufaransa yafunga baadhi ya misikiti nchini humo

    Oct 15, 2020 01:05

    Serikali ya Ufaransa imeamua kufunga baadhi ya misikiti nchini humo ikiwa ni katika hatua zake dhidi ya dini tukufu ya Kiislamu na Waislamu.

  • Janga la Corona na watu wasio na makazi huko Paris

    Janga la Corona na watu wasio na makazi huko Paris

    Oct 12, 2020 04:44

    Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni, hadi kufikia sasa asilimia 40 ya watu wasio na makazi huko Paris mji mkuu wa Ufaransa wameambukizwa corona baada ya janga la corona kuithiri nchi hiyo.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Iran walaani pendekezo dhidi ya Uislamu la serikali ya Ufaransa

    Wanazuoni wa Kiislamu Iran walaani pendekezo dhidi ya Uislamu la serikali ya Ufaransa

    Oct 10, 2020 08:40

    Jumuiya ya Wahadhiri katika Chuo cha Kiislamu cha Qum, nchini Iran imelaani vikali pendekezo la serikali ya Ufaransa la kuweka vizingiti katika harakati za Kiislamu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS