-
Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani
Dec 09, 2018 00:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda na kuyafadhili kwa hali na mali makundi ya kigaidi duniani, na kwamba irada thabiti na jitihada za pamoja zinahitajika ili kulitokomeza jinamizi hilo linalotishia usalama wa dunia.
-
Utafiti: Ubaguzi wa rangi umeongezeka duniani
Dec 05, 2018 12:55Taasisi kwa ajili ya Uchumi na Amani (IEP) imeeleza katika ripoti yake mpya kuwa, idadi ya waathirika wa vitendo vya ubaguzi wa rangi iliongezeka na takwimu za watu waliouawa kutokana na mashambulio ya kigaidi ilipungua katika mwaka uliopita wa 2017.
-
Iran na Uturiki zahimizwa kukabiliana na ugaidi na propaganda chafu dhidi ya Uislamu
Dec 05, 2018 04:39Mkuu wa Jumuiya ya Masuala ya Dini nchini Uturuki amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki ambazo ni nchi kubwa zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati zinapaswa kuzidisha ushirikiano kwa ajili ya kupambana na ugaidi na njama zinazoeneza propaganda za kuchafua sura safi ya Uislamu.
-
Kukiri balozi wa UK kwamba waitifaki wa Marekani ndio wafadhili wakubwa kifedha wa ugaidi nchini Iraq
Nov 29, 2018 23:17Balozi wa Uingereza nchini Iraq Jonathan Wilks, ametoa matamshi muhimu kwa kukiri kwamba Qatar, Saudi Arabia na Imarati (UAE) ndio waliofadhili ugaidi nchini Iraq kwa kiwango kikubwa zaidi cha fedha.
-
HAMAS: Marekani ni mshirika wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika ugaidi wa kimataifa
Nov 20, 2018 11:57Mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS nchini Lebanon amesema, Marekani ni mshirika wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kuongoza ugaidi wa kimataifa na dhulma dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Larijani: Kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani
Nov 11, 2018 09:01Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani na kwamba madai kuwa serikali ya Washington inapambana na ugaidi siyo ya kweli.
-
Undumakuwili wa Marekani kuhusu mapambano dhidi ya ugaidi kwa mtazamo wa Zarif
Nov 10, 2018 07:50Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 katika miji ya Washington na New York huko Marekani, Rais wa wakati huo wa nchi hiyo, George W. Bush aliwanyooshea kidole cha tuhuma Waislamu na kuiarifisha Marekani kuwa ni mbeba bendera ya kupambana na ugaidi.
-
Lavrov atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi duniani
Nov 08, 2018 04:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema ugaidi ungali upo kote ulimwenguni na ni jambo la hatari kwa nchi zote licha ya mafanikio yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya janga hilo.
-
BBC: Timu ya mauaji yenye watu 50 ya Saudia ilihusika katika mauaji ya Khashoggi na wengineo
Nov 08, 2018 01:18Ripoti iliyotayarishwa na Idhaa ya Kiarabu ya BBC imefuichua kwamba, timu ya mauaji ya Wasaudia 50 iliundwa msimu wa joto uliopita kuwaangamiza wapinzani ndani na nje ya Saudi Arabia.
-
Uturuki: Timu ya mauaji ya Khashoggi imefanya mauaji kama hayo huko nyuma
Nov 02, 2018 12:54Vyombo vya Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki vimefuichua kuwa, Ankara ina ushahidi unaothibitisha kuwa, timu ya mauaji ya Saudi Arabia iliyoshiriki katika mauaji ya kigaidi dhidi ya mwandishi na mkosoaji wa serikali ya kifalme ya nchi hiyo, Jamal Khashoggi mjini Istanbul yapata mwezi mmoja uliopita, iliwahi kufanya mauaji kadhaa kama hayo hapo kabla.