-
Kamanda wa Jeshi al Majini la Iran: Nchi nyingi zinataka kutumia mbinu za Iran kupambana na uharamia, ugaidi
Mar 24, 2017 22:21Kanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi nyingi zinataka kujua mbinu zinazotumiwa na kikosi cha jeshi hilo kwa ajili ya kuimarisha usalama baharini na kupambana na ugaidi.
-
NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani
Mar 24, 2017 21:54Kamanda wa majeshi ya NATO barani Ulaya, Jenerali Curtis Scaparrotti amekiri kuwa bara hilo sasa limekuwa miongoni mwa maeneo hatari zaidi duniani.
-
Darul Iftaa ya Misri: Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa ugaidi barani Afrika
Mar 16, 2017 11:24Darul Iftaa ya Misri imetangaza kuwa, nchi za Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa makundi ya kigaidi barani Afrika na kwamba nchi hizo zinapaswa kulazimishwa kuacha kuyaunga mkono makundi ya kigaidi.
-
Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi
Mar 04, 2017 03:40Katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa Ankara na Berlin, Rais wa Uturuki ameituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi.
-
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani apinga vikali suala la kunasibishwa Uislamu na ugaidi
Feb 19, 2017 10:48Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amekosoa vikali propaganda chafu na hasi zinazofanywa dhidi ya Uislamu pamoja na dini nyingine.
-
Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi
Feb 19, 2017 04:13Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
-
Wasiwasi wa kuenea fikra za Uwahabi wa Saudia barani Ulaya
Feb 10, 2017 04:28Serikali ya Ubelgiji imeonyesha wasi wasi wake juu ya kuenea mafundisho ya Uwahabi unaoungwa mkono na utawala wa Saudi Arabia ndani ya nchi hiyo na mataifa mengine ya Ulaya.
-
Larijani: Waungaji mkono wa ugaidi hawamo kwenye orodha ya Trump ya marufuku ya viza
Feb 01, 2017 23:22Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi zinazounga mkono ugaidi hazimo kwenye orodha ya marufuku ya viza iliyotolewa na Rais wa Marekani.
-
Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi
Feb 01, 2017 04:04Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa kimataifa unahitajika iwapo dunia inataka natija katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Tunisia katika mtanziko wa kiusalama; magaidi elfu tatu wapo nje ya nchi
Jan 02, 2017 22:55Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia tarehe 31 mwezi Disemba mwaka jana alieleza kuwa magaidi elfu tatu raia wa Tunisia wametapakaa katika pembe mbalimbali za dunia khususan huko Iraq, Syria na Libya.