Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Kamanda wa Jeshi al Majini la Iran: Nchi nyingi zinataka kutumia mbinu za Iran kupambana na uharamia, ugaidi

    Kamanda wa Jeshi al Majini la Iran: Nchi nyingi zinataka kutumia mbinu za Iran kupambana na uharamia, ugaidi

    Mar 24, 2017 22:21

    Kanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi nyingi zinataka kujua mbinu zinazotumiwa na kikosi cha jeshi hilo kwa ajili ya kuimarisha usalama baharini na kupambana na ugaidi.

  • NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani

    NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani

    Mar 24, 2017 21:54

    Kamanda wa majeshi ya NATO barani Ulaya, Jenerali Curtis Scaparrotti amekiri kuwa bara hilo sasa limekuwa miongoni mwa maeneo hatari zaidi duniani.

  • Darul Iftaa ya Misri: Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa ugaidi barani Afrika

    Darul Iftaa ya Misri: Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa ugaidi barani Afrika

    Mar 16, 2017 11:24

    Darul Iftaa ya Misri imetangaza kuwa, nchi za Magharibi ni waungaji mkono wakuu wa makundi ya kigaidi barani Afrika na kwamba nchi hizo zinapaswa kulazimishwa kuacha kuyaunga mkono makundi ya kigaidi.

  • Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi

    Uturuki yaituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi

    Mar 04, 2017 03:40

    Katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa Ankara na Berlin, Rais wa Uturuki ameituhumu Ujerumani kuwa inaunga mkono ugaidi.

  • Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani apinga vikali suala la kunasibishwa Uislamu na ugaidi

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani apinga vikali suala la kunasibishwa Uislamu na ugaidi

    Feb 19, 2017 10:48

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amekosoa vikali propaganda chafu na hasi zinazofanywa dhidi ya Uislamu pamoja na dini nyingine.

  • Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi

    Feb 19, 2017 04:13

    Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.

  • Wasiwasi wa kuenea fikra za Uwahabi wa Saudia barani Ulaya

    Wasiwasi wa kuenea fikra za Uwahabi wa Saudia barani Ulaya

    Feb 10, 2017 04:28

    Serikali ya Ubelgiji imeonyesha wasi wasi wake juu ya kuenea mafundisho ya Uwahabi unaoungwa mkono na utawala wa Saudi Arabia ndani ya nchi hiyo na mataifa mengine ya Ulaya.

  • Larijani: Waungaji mkono wa ugaidi hawamo kwenye orodha ya Trump ya marufuku ya viza

    Larijani: Waungaji mkono wa ugaidi hawamo kwenye orodha ya Trump ya marufuku ya viza

    Feb 01, 2017 23:22

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi zinazounga mkono ugaidi hazimo kwenye orodha ya marufuku ya viza iliyotolewa na Rais wa Marekani.

  • Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Feb 01, 2017 04:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa kimataifa unahitajika iwapo dunia inataka natija katika vita dhidi ya ugaidi.

  •  Tunisia katika mtanziko wa kiusalama; magaidi elfu tatu wapo nje ya nchi

    Tunisia katika mtanziko wa kiusalama; magaidi elfu tatu wapo nje ya nchi

    Jan 02, 2017 22:55

    Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia tarehe 31 mwezi Disemba mwaka jana alieleza kuwa magaidi elfu tatu raia wa Tunisia wametapakaa katika pembe mbalimbali za dunia khususan huko Iraq, Syria na Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS