Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Amani na mapatano ya kitaifa, kipaumbele cha wakuu wa Afrika mwaka 2017

    Amani na mapatano ya kitaifa, kipaumbele cha wakuu wa Afrika mwaka 2017

    Jan 02, 2017 00:49

    Viongozi wa nchi za Kiafrika wamesema kuwa siasa zao kwa mwaka mpya wa 2017 zinatoa kipaumbele kwa suala la kurejesha amani na kupatikana suluhu ya kitaifa barani humo.

  • Tahadhari ya maafisa usalama wa Tunisia kuhusu kurejea magaidi nchini humo

    Tahadhari ya maafisa usalama wa Tunisia kuhusu kurejea magaidi nchini humo

    Dec 27, 2016 01:11

    Licha ya kupita miaka sita ya tangu kutokea mapinduzi ya wananchi huko Tunisia, hali ya usalama ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika bado si ya utulivu na hivi sasa kuna wasiwasi mkubwa wa kurejea magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi nchini humo.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab

    Dec 21, 2016 23:32

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kwa mara nyingine tena kimesisitiza juu ya azma yake ya kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la al-Shabab.

  • Rais wa Russia awataka walimwengu wapambane kwa dhati na ugaidi

    Rais wa Russia awataka walimwengu wapambane kwa dhati na ugaidi

    Dec 21, 2016 03:32

    Rais Vadimir Putin wa Russia ametoa wito wa kuweko vita vya kweli vya kupambana na ugaidi wa kimataifa.

  • Maelfu ya watu watiwa mbaroni Saudi Arabia kwa tuhuma za ugaidi

    Maelfu ya watu watiwa mbaroni Saudi Arabia kwa tuhuma za ugaidi

    Dec 17, 2016 23:31

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza habari ya kutiwa nguvuni maelfu ya watu nchini humo kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na makundi ya kigaidi.

  • Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati

    Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati

    Dec 15, 2016 08:11

    Vitalin Churkin, balozi na mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa Marekani katika nchi za Iraq na Syria ndio uliosababisha kujitokeza Daesh na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Churkin aidha amesema Uingereza na Ufaransa ni washirika wa jinai za Marekani katika kuvuruga amani Mashariki ya Kati.

  • Hamas: Himaya ya Marekani kwa Israel ni kuunga mkono ugaidi

    Hamas: Himaya ya Marekani kwa Israel ni kuunga mkono ugaidi

    Dec 10, 2016 23:37

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, himaya na uungaji mkono wa Marekani kwa utawala haramu wa Israel ni uungaji mkono kwa ugaidi.

  • Maafisa sita wa polisi wauawa katika hujuma ya kigaidi Cairo

    Maafisa sita wa polisi wauawa katika hujuma ya kigaidi Cairo

    Dec 09, 2016 10:42

    Maafisa sita wa polisi nchini Misri wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa leo Ijumaa baada ya bomu la kutegwa barabarnai kulipuka katika kituo kimoja cha upekuzi mjini Cairo.

  • Rais wa Senegal asisitiza kutokomezwa ugaidi barani Afrika

    Rais wa Senegal asisitiza kutokomezwa ugaidi barani Afrika

    Dec 07, 2016 00:27

    Rais Macky Sall wa Senegal amesisitizia ulazima wa kung'olewa na kutokomezwa mizizi ya ugaidi katika nchi zote za Afrika.

  • Oparesheni ya Kenya ya kukusanya silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Oparesheni ya Kenya ya kukusanya silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Dec 05, 2016 08:50

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa kukusanya silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS