-
Tunisia yasambaratisha makundi 160 ya magaidi
Dec 03, 2016 10:42Vikosi vya usalama Tunisia vimefanikiwa kusambaratisha makundi 160 ya kigaidi nchini humo katika miezi 10 ya kwanza ya mwaka huu.
-
Nchi za jumuiya ya Francophone zasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi
Nov 29, 2016 10:20Washiriki katika mkutano wa kimataifa wa 16 wa Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (Francophone) wametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kuanzisha ulimwengu wenye amani na usalama.
-
Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake
Nov 28, 2016 23:30Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuyatumia makundi ya kigaidi kama wenzo wa kufikia malengo yao na kusisitiza kuwa mchezo huo mchafu umesababisha matatizo mengi.
-
Iran: Ugaidi ni tishio kwa nchi za Afrika na Asia Magharibi
Nov 22, 2016 04:30Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye anashughulikia masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika amesema ugaidi ni tatizo la kimataifa na tishio la pamoja kwa nchi za bara Afrika na eneo la magharibi mwa bara Asia.
-
Zarif: Muqawama umesambaratisha njama za magaidi Lebanon
Nov 08, 2016 04:00Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema harakati za kimuqawama ndizo zimesambaratisha njama za maadui na magaidi nchini Lebanon.
-
Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika
Nov 08, 2016 03:48Gazeti la Washington Post la Marekani limeandika makala kuhusu kuenea Uwahhabi nchini Nigeria na kuongeza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unaaunga mkono viongozi wa Mawahhabi ili waweze kueneza Uwahhabi nchini humo na kote barani Afrika.
-
Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi Samarra na Tikrit Iraq
Nov 07, 2016 00:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyopelekea watu wasiopungua 21 kuuawa katika miji ya Samarra na Tikrit nchini Iraq jana Jumapili.
-
Iran: Wananchi wamevunja njama zote za maadui
Nov 05, 2016 23:13Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema kuwa, kushiriki vilivyo wananchi katika nyuga tofauti kumefanikiwa kuvunja njama zote za maadui.
-
Wamarekani wahofia kutokea mashambulizi ya kigaidi wakati wa uchaguzi
Nov 05, 2016 11:38Viongozi wa serikali ya Marekani wameonya juu ya uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi siku ya uchaguzi wa rais na kuwataka wananchi wajiandae kwa hilo.
-
Rais Rouhani asisitiza umoja kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Nov 05, 2016 04:09Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuimarishwa umoja na mshikamano kwa ajili ya kuimarisha usalama na amani ya Mashariki ya Kati.