-
Rais wa Ghana atoa wito wa kuweko vita vya kweli dhidi ya ugaidi
Oct 31, 2016 11:18Rais wa Ghana amesisitiza juu ya kuchukuliwa hatua za maana na zenye mipango madhubuti kwa ajili ya kukabiliana na ugaidi wa kimataifa.
-
Watu 10 wauawa kaskazini mwa Misri
Oct 30, 2016 12:07Watu 10 wameuawa katika mapigano baina ya jeshi la Misri na watu wenye silaha katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Al-Shabaab yafanya tena ukatili Kenya, yaua 12 Mandera
Oct 25, 2016 04:10Watu 12 wameuawa na wengine wengi kuachwa na majeraha ya risasi baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi, usiku wa jana.
-
Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan
Oct 25, 2016 01:08Makumi ya makurutu wameuawa baada ya genge la kigaidi kushambulia chuo cha kutoa mafunzo ya polisi kusini magharibi mwa Pakistan.
-
Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita
Oct 18, 2016 03:31Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema Marekani inachochea ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla kwa kutumia anga ya vita na mapigano.
-
Mgogoro wa Syria na ukwamishaji wa viongozi wa Marekani
Oct 08, 2016 02:50Marekani imekuwa ikifanya njama mbalimbali za kukwamisha jitihada za kuutafutia ufumbuzi wa kisiasa mgogoro wa nchi ya Kiarabu ya Syria, suala ambalo limewafanya maafisa wa Umoja wa Mataifa washindwe kuvumilia na kuamua kuilalamikia Marekani kwa njama zake hizo.
-
Iran yazitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kujinufaisha
Oct 05, 2016 11:21Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitahadharisha nchi zinazotumia ugaidi kufikia malengo na maslahi yao ya kibinafsi.
-
Iran: Ugaidi umezuia kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu
Oct 04, 2016 04:43Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema ugaidi na misimamo mikali ya kufurutu ada vimekuwa kizingiti kikuu katika kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs.
-
Saudia inaunga mkono wahalifu mashariki mwa Iran
Sep 30, 2016 03:39Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran Abdul Ridha Rahman Fadhli amesema Saudi Arabia inaunga mkono wahalifu katika eneo la mashariki mwa nchi.
-
Russia: Kauli ya Marekani ni dhihirisho kuwa inaunga mkono ugaidi
Sep 29, 2016 10:50Serikali ya Moscow imesema matamshi ya hivi karibuni ya Marekani kuwa magaidi wa Daesh wanaofanya mashambulizi dhidi ya Syria yumkini wakaanza kuishambulia miji ya Russia ni ithibati tosha kuwa Washington inaunga mkono ugaidi.