-
'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'
May 13, 2016 23:11Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepinga tuhuma za mwakilishi wa Saudi Arabia katika umoja huo dhidi ya Iran na kuzitaja kuwa kichekesho.
-
Iran yakosoa wanaotumia ugaidi kufikia malengo yao
May 09, 2016 10:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa sera za baadhi ya nchi kutumia ugaidi kama chombo cha kufikia malengo yao katika eneo na kusema jambo hilo litakuwa na natija kinyume na inavotarajiwa.
-
Waalgeria watatu watiwa mbaroni kwa tuhuma za ugaidi
May 07, 2016 11:38Jeshi la Algeria limewatia mbaroni raia watatu wa nchi hiyo kwa tuhuma za kuyasaidia makundi ya kigaidi nchini humo.
-
Velayati: Wamagharibi wanapanga kuzigawa vipande vipande Iraq, Syria
May 01, 2016 23:22Afisa mwandamizi wa Iran amelaani vikali njama za nchi za Magharibi na waitifaki wao kieneo za kutaka kuzigawa vipande vipande Iraq na Syria.
-
Watu 9 wauawa katika hujuma yamsikitini Iraq
Apr 22, 2016 12:56Watu wasiopungua tisa wameuawa na wengine zaidi ya 25 kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka ndani ya msikiti mmoja katika eneo la Radwaniyah kusini magharibi mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Larijani: Marekani inatumia ugaidi kama wenzo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine
Apr 19, 2016 22:20Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, mfumo wa kambi moja wa Marekani umefeli katika kuendesha masuala ya dunia na kwamba sasa ugaidi unatumiwa na Washington kama wenzo wa kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine duniani.
-
Saudia yahusishwa na hujuma za 9/11, Obama aitetea
Apr 19, 2016 22:19Saudi Arabia imehusishwa na hujuma za kigaidi za Septemba 2001 nchini Marekani lakini pamoja na hayo Rais Barack Obama wa nchi hiyo amelaani mswada wa sharia unaotaka watawala wa Saudia wawajibishwe.
-
Utafiti: Wairaqi wengi wanaamini kuwa US inaunga mkono ugaidi, Daesh
Apr 08, 2016 03:52Utafiti mpya wa maoni umeonyesha kuwa thuluthi moja ya wananchi wa Iraq wanaamini kuwa Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi
Apr 04, 2016 23:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaka Uturuki kuacha kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na kuunga mkono ugaidi.
-
Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria
Apr 01, 2016 03:22Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umetoa matibabu kwa magaidi zaidi ya 2,100 wanaopigana ndani ya Syria kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo.