Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • SAUTI, Ulaji nyama ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari mno kwa afya ya mlaji yasema (WHO)

    SAUTI, Ulaji nyama ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari mno kwa afya ya mlaji yasema (WHO)

    Apr 25, 2018 12:28

    Ripoti ya Shirika la Afya Duniani WHO, imesema kuwa, ulaji wa nyama choma ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari kwa afya ya mlaji.

  • Uganda yakanusha kama imekubali kutuma wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen

    Uganda yakanusha kama imekubali kutuma wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen

    Apr 18, 2018 11:45

    Serikali ya Uganda imekadhibisha habari kwamba imekubali kutuma wanajeshi wake nchini Yemen.

  • SAUTI, Wanasheria Uganda wafungua upya kesi ya kupinga Rais Museven kugombea tena nafasi hiyo

    SAUTI, Wanasheria Uganda wafungua upya kesi ya kupinga Rais Museven kugombea tena nafasi hiyo

    Apr 09, 2018 13:30

    Wanasheria na wanasiasa nchini Uganda wamefungua tena kesi ya kupinga maamuzi ya kubatilisha kipengee cha ukomo wa umri kwa mgombea urais nchini humo.

  • Kipindupindu chaua makumi ya wakimbizi Uganda

    Kipindupindu chaua makumi ya wakimbizi Uganda

    Apr 05, 2018 23:18

    Zaidi ya wakimbizi 40 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika kambi za wakimbizi zilizoko nchini Uganda.

  • Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mar 23, 2018 02:52

    Wanajeshi na maafisa wa polisi wameufunga na kuuzingira Msikiti wa Basajjabalaba katika Manispaa ya Bushenyi-Ishaka magharibi mwa Uganda kutokana na mzozo miongoni mwa Waislamu katika eneo hilo.

  • UNHCR: Wakimbizi zaidi ya 57,000 wa DRC wameingia Uganda tangu kuanza mwaka huu

    UNHCR: Wakimbizi zaidi ya 57,000 wa DRC wameingia Uganda tangu kuanza mwaka huu

    Mar 17, 2018 04:33

    Shirika la Kuuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, raia zaidi ya 57,000 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia katika nchi jirani ya Uganda tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018.

  • SAUTI, Mamlaka ya kusimamia madawa Uganda yaendelea kunasa madawa bandia katika hospitali na maduka ya madawa

    SAUTI, Mamlaka ya kusimamia madawa Uganda yaendelea kunasa madawa bandia katika hospitali na maduka ya madawa

    Mar 15, 2018 13:13

    Taasisi ya kudhibiti madawa nchini Uganda imeendelea kukamata madawa ambayo yamekuwa yakiuzwa katika vituo mbalimbali vya afya nchini humo.

  • Generali Kayihura aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Museven ashtakiwa ICC

    Generali Kayihura aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Museven ashtakiwa ICC

    Mar 07, 2018 10:57

    Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) aliyefutwa kazi hivi karibuni na Rais Yoweri Museven wa Uganda Kale Kayihura, ameshtakiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kutokana na makosa dhidi ya binadamu ambayo inadaiwa aliyafanya alipokuwa na wadhifa huo wa polisi.

  • Sura mpya katika jeshi la polisi nchini Uganda + Sauti

    Sura mpya katika jeshi la polisi nchini Uganda + Sauti

    Mar 06, 2018 03:48

    Mwangwi wa hatua ya Rais Yoweri Kaguda Museveni wa Uganda ya kumtimua Inspekta Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo Jenerali Kale Kayehura na maafisa wengine kadhaa wa masuala ya usalama umeendelea kuhisika huku wananchi wakitoa maoni mbalimbali kuhusu hatua hiyo.

  • Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wafanya mashambulio mashariki mwa DRC na kuua watu 7

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wafanya mashambulio mashariki mwa DRC na kuua watu 7

    Mar 05, 2018 00:32

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wamefanya tena mashambulio katika eneo moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu saba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS