-
SAUTI, Ulaji nyama ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari mno kwa afya ya mlaji yasema (WHO)
Apr 25, 2018 12:28Ripoti ya Shirika la Afya Duniani WHO, imesema kuwa, ulaji wa nyama choma ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari kwa afya ya mlaji.
-
Uganda yakanusha kama imekubali kutuma wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen
Apr 18, 2018 11:45Serikali ya Uganda imekadhibisha habari kwamba imekubali kutuma wanajeshi wake nchini Yemen.
-
SAUTI, Wanasheria Uganda wafungua upya kesi ya kupinga Rais Museven kugombea tena nafasi hiyo
Apr 09, 2018 13:30Wanasheria na wanasiasa nchini Uganda wamefungua tena kesi ya kupinga maamuzi ya kubatilisha kipengee cha ukomo wa umri kwa mgombea urais nchini humo.
-
Kipindupindu chaua makumi ya wakimbizi Uganda
Apr 05, 2018 23:18Zaidi ya wakimbizi 40 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika kambi za wakimbizi zilizoko nchini Uganda.
-
Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda
Mar 23, 2018 02:52Wanajeshi na maafisa wa polisi wameufunga na kuuzingira Msikiti wa Basajjabalaba katika Manispaa ya Bushenyi-Ishaka magharibi mwa Uganda kutokana na mzozo miongoni mwa Waislamu katika eneo hilo.
-
UNHCR: Wakimbizi zaidi ya 57,000 wa DRC wameingia Uganda tangu kuanza mwaka huu
Mar 17, 2018 04:33Shirika la Kuuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, raia zaidi ya 57,000 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia katika nchi jirani ya Uganda tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018.
-
SAUTI, Mamlaka ya kusimamia madawa Uganda yaendelea kunasa madawa bandia katika hospitali na maduka ya madawa
Mar 15, 2018 13:13Taasisi ya kudhibiti madawa nchini Uganda imeendelea kukamata madawa ambayo yamekuwa yakiuzwa katika vituo mbalimbali vya afya nchini humo.
-
Generali Kayihura aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Museven ashtakiwa ICC
Mar 07, 2018 10:57Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) aliyefutwa kazi hivi karibuni na Rais Yoweri Museven wa Uganda Kale Kayihura, ameshtakiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kutokana na makosa dhidi ya binadamu ambayo inadaiwa aliyafanya alipokuwa na wadhifa huo wa polisi.
-
Sura mpya katika jeshi la polisi nchini Uganda + Sauti
Mar 06, 2018 03:48Mwangwi wa hatua ya Rais Yoweri Kaguda Museveni wa Uganda ya kumtimua Inspekta Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo Jenerali Kale Kayehura na maafisa wengine kadhaa wa masuala ya usalama umeendelea kuhisika huku wananchi wakitoa maoni mbalimbali kuhusu hatua hiyo.
-
Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wafanya mashambulio mashariki mwa DRC na kuua watu 7
Mar 05, 2018 00:32Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wamefanya tena mashambulio katika eneo moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu saba.