Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda yatumia mfumo wa Biometrics kuwasajili wakimbizi

    Uganda yatumia mfumo wa Biometrics kuwasajili wakimbizi

    Mar 03, 2018 12:43

    Uganda inatumia mfumo wa usajili wa alama za vidole (Biometric) kuwasajili wakimbizi wanaozidi kumimnika nchini humo kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemopkrasia ya Kongo.

  • Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Feb 23, 2018 04:11

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makumi ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepoteza maisha baada ya mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha kuikumba kambi moja ya wakimbizi magharibi mwa Uganda.

  • Yumkini Uganda ikarejesha adhabu ya kifo (SAUTI)

    Yumkini Uganda ikarejesha adhabu ya kifo (SAUTI)

    Jan 19, 2018 13:06

    Kuna wafungwa 278 ambao wamehukumiwa kifo lakini Rais Museveni hajatia saini amri ya utekelezwaji wa hukumu hizo.

  • Rais wa Uganda atafakari kurejesha hukumu ya kifo

    Rais wa Uganda atafakari kurejesha hukumu ya kifo

    Jan 19, 2018 10:32

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema anatafakari kurejesha hukumu ya kifo nchini humo ili kukabiliana na wimbi kubwa la uhalifu nchini.

  • Museveni aituhumu UN kuwa 'inalinda ugaidi' Kongo DR

    Museveni aituhumu UN kuwa 'inalinda ugaidi' Kongo DR

    Jan 17, 2018 11:14

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameibua tuhuma nzito dhidi ya Umoja wa Mataifa akidai kuwa chombo hicho cha kimataifa 'kinalinda ugaidi' mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Jeshi la Kongo lazindua operesheni dhidi ya waasi wa ADF wa Uganda

    Jeshi la Kongo lazindua operesheni dhidi ya waasi wa ADF wa Uganda

    Jan 14, 2018 04:19

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeanzisha operesheni kali dhidi ya kundi la ADF la Uganda katika mji wa Beni mashariki mwa nchi.

  • SAUTI, Waislamu watakiwa kuyaenzi mafundisho ya Qur'an Tukufu na kuacha mifarakano

    SAUTI, Waislamu watakiwa kuyaenzi mafundisho ya Qur'an Tukufu na kuacha mifarakano

    Jan 08, 2018 13:56

    Waislamu duniani wametakiwa kuenzi mafundisho ya Qur'an Tukufu sambamba na kuachana na tofauti ndogondogo zinazoweza kuwafanya kutokuwa wamoja.

  • Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi

    Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi

    Jan 06, 2018 04:44

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amewataka wananchi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutoshiriki uchaguzi mkuu ujao, na badala yake waunge mkono jitihada zake za kutamatisha utawala wa Rais Yoweri Kaguta Museveni.

  • Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Jan 06, 2018 00:32

    Serikali ya Rwanda imekanusha taarifa za kukubali kuwapokea maelfu ya wahajiri wa Kiafrika kama sehemu ya mpango uliofikiwa baina yake na utawala wa Kizayuni wa Israel, muda mfupi baada ya Uganda kukabidhisha madai hayo ya Tel Aviv.

  • Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda

    Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda

    Dec 29, 2017 04:35

    Habari kutoka Kampala, mji mkuu wa Uganda zinasema raia 45 wa Rwanda wanaozuiliwa katika kituo cha polisi cha Nalufenya wilayani Jinja wamefunguliwa mashitaka ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS