Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Jeshi la Uganda laua waasi zaidi ya 100 wa ADF Kongo DR

    Jeshi la Uganda laua waasi zaidi ya 100 wa ADF Kongo DR

    Dec 28, 2017 01:11

    Jeshi la Uganda limetangaza habari ya kuua wanachama wasiopungua 100 wa kundi la waasi wa ADF katika makabiliano makali yaliyojiri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Maelfu ya wakimbizi wa Kongo wawasili Uganda

    Maelfu ya wakimbizi wa Kongo wawasili Uganda

    Dec 27, 2017 23:13

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa kuanzia tarehe 18 mwezi huu hadi hivi sasa zaidi ya wakimbizi 4500 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia Uganda.

  • Uganda na DRC kushirikiana katika kupambana na waasi wa ADF

    Uganda na DRC kushirikiana katika kupambana na waasi wa ADF

    Dec 20, 2017 04:46

    Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimekubaliana kuimarisha utaratibu wa mawasiliano na kupeana taarifa za kiintelijensia kwa ajili ya kupambana na waasi wa ADF kufuatia mashambulizi yao dhidi ya vikosi vya walinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa.

  • Mbunge wa Kivu Kaskazini atahadharisha kuhusu vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda

    Mbunge wa Kivu Kaskazini atahadharisha kuhusu vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda

    Dec 11, 2017 04:38

    Juvenal Munubo, mwakilishi wa Kivu Kaskazini katika Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametahadharisha kuhusiana na vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.

  • Uchunguzi wa maoni: Asilimia 85 ya Waganda 'hawamtaki' Museveni

    Uchunguzi wa maoni: Asilimia 85 ya Waganda 'hawamtaki' Museveni

    Dec 10, 2017 03:44

    Uchunguzi wa maoni umeonyesha kuwa asilimia 85 ya wananchi wa Uganda hawaungi mkono muswada wa kufanyia marekebisho katiba ili kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Makumi ya wanajeshi wa Uganda waanza kuondoka Somalia

    Makumi ya wanajeshi wa Uganda waanza kuondoka Somalia

    Dec 07, 2017 11:41

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limeanza kuondoa makumi ya wanajeshi wake wanaohudumu ndani ya Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom.

  • Besigye akamatwa tena, polisi Uganda yatumia vitoa machozi kuzima mkutano wa upinzani

    Besigye akamatwa tena, polisi Uganda yatumia vitoa machozi kuzima mkutano wa upinzani

    Nov 15, 2017 03:49

    Kwa mara nyingine tena polisi ya Uganda imemtia mbaroni kinara wa upinzani nchini humo Kizza Besigye, kwa tuhuma za kuitisha mkutano wa hadhara pasina kibali cha vyombo vya usalama.

  • Magufuli na Museveni walaani uamuzi wa ICC kuhusu Burundi

    Magufuli na Museveni walaani uamuzi wa ICC kuhusu Burundi

    Nov 11, 2017 12:24

    Marais wa Tanzania na Uganda wamelaani uamuzi ulitolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), ambayo imemuagiza Mwendesha Mashtaka wake, Fatou Bensouda kuanzisha uchunguzi wa vitendo vya kihalifu dhidi ya binadamu vilivyotokea nchini Burundi.

  • WHO yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa virusi vya Marburg Kenya na Uganda

    WHO yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa virusi vya Marburg Kenya na Uganda

    Nov 11, 2017 12:23

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limewatahadharisha wageni wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Mt Elgon juu ya hatari ya kupatwa na ugonjwa wa virusi vya Marburg.

  • Madaktari Uganda wafanya mgomo wakidai nyongeza ya mishahara

    Madaktari Uganda wafanya mgomo wakidai nyongeza ya mishahara

    Nov 07, 2017 23:26

    Madaktari wa Uganda wameanza mgomo wa nchi nzima baad ya serikali kushindwa kutekeleza matakwa yao kuhusu nyongeza ya mshahara na kuboresha mazingira ya kazi katika hospitali za umma.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS