Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni

    Oct 26, 2017 04:37

    Wabunge wanane wa upinzani wamerejesha kwenye hazina ya serikali fedha walizopokea kwa ajili ya kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Zarif aonana na Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda mjini Kampala + Picha

    Zarif aonana na Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda mjini Kampala + Picha

    Oct 25, 2017 12:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonana na Rais Yowezi Kaguta Museveni wa uganda mjini Kampala na pande hizo mbili zimejadiliana masuala ya pande mbili na ya kieneo na kimataifa.

  • Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran

    Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran

    Oct 25, 2017 01:07

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wairani walioko nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya taifa hili.

  • Wabunge Uganda wapewa 'hongo' ya mamilioni ya pesa kurefusha uongozi wa Museveni

    Wabunge Uganda wapewa 'hongo' ya mamilioni ya pesa kurefusha uongozi wa Museveni

    Oct 24, 2017 10:11

    Msemaji wa Bunge la Uganda amesema kila Mbunge wa nchi hiyo amepewa shilingi milioni 29 za nchi hiyo, sawa na dola elfu 8 za Marekani, kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.

  • Uganda yakumbwa tena na homa ya Marburg

    Uganda yakumbwa tena na homa ya Marburg

    Oct 20, 2017 13:18

    Uganda imethibitisha kufariki dunia mtu mmoja kwa homa inayoenezwa na kirusi cha Marburg, homa ambayo huambatana na kuvuja damu sawa kabisa na homa ya Ebola. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya wa nchi hiyo.

  • Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Ghasia zashtadi Uganda, Besigye na Wabunge wa upinzani wakamatwa

    Oct 20, 2017 04:00

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine sita wakiachwa na majeraha ya risasi na kulazwa hospitalini katika wilaya ya Rukungiri, kufuatia ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga mpango wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini Uganda.

  • Uganda yapiga marufuku maandamano ya kupinga kuondolewa kipengee cha umri katika kugombea urais

    Uganda yapiga marufuku maandamano ya kupinga kuondolewa kipengee cha umri katika kugombea urais

    Oct 18, 2017 11:50

    Jeshi la polisi nchini Uganda leo (Jumatano) limepiga marufuku kile lilichokiita ni maandamano haramu ya kupinga mpango wa kuondoa kipengee ya umri katika kugombea urais. Juhudi za kuondoa kipengee hicho zina nia ya kumfungulia njia Rais Yoweri Museveni kuendelea kubakia madarakani bila ya kufungwa na kipengee hicho.

  • Kugeuka bunge la Uganda uwanja wa kurushiana makonde

    Kugeuka bunge la Uganda uwanja wa kurushiana makonde

    Sep 28, 2017 23:04

    Mpango wa kuondolewa ukomo wa umri wa rais kwa ajili ya kumuwezesha Rais Yoweri Museven wa Uganda kugombea tena katika uchaguzi wa rais ujao, umepelekea bunge la nchi hiyo kukumbwa na hali ya mchafukoge.

  • Wabunge wa Uganda watwangana tena, matangazo mubashara yafutwa

    Wabunge wa Uganda watwangana tena, matangazo mubashara yafutwa

    Sep 27, 2017 10:51

    Kwa siku ya pili mfululizo, Wabunge wa Uganda wamerushiana makonde Bungeni wakati wa kujadiliwa muswada wa sheria inayotaka kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.

  • Wabunge watwangana makonde Uganda kabla ya kujadili mswada wa kurefusha utawala wa Museveni

    Wabunge watwangana makonde Uganda kabla ya kujadili mswada wa kurefusha utawala wa Museveni

    Sep 26, 2017 12:35

    Vurumai za kupigana makonde na kurushiana viti baina ya wabunge zimezuka ndani ya bunge nchini Uganda leo kabla ya bunge hilo kujadili mswada ambao endapo utapitishwa utamwezesha Rais Yoweri Museveni kuwania tena urais kwa kipindi kingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS