-
Mabomu ya kutoa machozi yarindima Uganda huku bunge likijadili mpango wa kurefusha utawala wa Museveni
Sep 21, 2017 11:14Polisi wa Uganda wametumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya watu waliokusanyika kwa lengo la kuandamana kuelekea bungeni kupinga rasimu ya mswada unaolenga kurefusha muda wa kutawala Rais wa nchi hiyo Yoweri Kaguta Museveni. Rasimu hiyo ilitazamiwa kuwasilishwa mbele ya bunge baadaye leo.
-
Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha
Sep 20, 2017 23:18Wabunge wa vyama vya upinzani nchini Uganda wamesema serikali inawatishia maisha masaa machache kabla ya bunge la nchi hiyo kujadili muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.
-
Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge
Sep 14, 2017 10:14Rais Yoweri Museveni wa Uganda amejitosa kwenye mjadala kuhusu kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo na kusisitiza kuwa, kauli ya mwisho kuhusu kadhia hiyo itatolewa na Bunge la nchi hiyo.
-
Mwito wa kutumiwa Kiswahili kuimarisha utangamano Afrika Mashariki
Sep 09, 2017 03:19Naibu Waziri Mkuu wa Uganda ametoa wito wa kutumiwa lugha ya Kiswahili kuimarisha utangamano katika kanda ya Afrika Mashariki.
-
Ulimwengu wa Michezo, Sep 4
Sep 04, 2017 01:50Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....
-
FAO yatoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu nchini Uganda
Aug 31, 2017 09:51Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu katika nchi ya Uganda iliyoko katika eneo la Afrika Mashariki.
-
Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini
Aug 16, 2017 23:42Uganda imefungua kambi mpya kwa ajili ya kuwapokea maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaozidi kumiminika kila uchao katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Uganda yakadhibisha kutuma wanajeshi wake huko Kenya
Aug 14, 2017 22:01Serikali ya Uganda imekadhibisha madai kuwa ina nia ya kutuma wanajeshi wake huko Kenya ili kusaidia polisi wa nchi hiyo katika oparesheni za kulinda usalama baada ya kumalizika uchaguzi mkuu nchini humo.
-
Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda
Aug 04, 2017 10:36Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Iran na Uganda zina vyanzo vingi vya utajiri na kwamba, kuna fursa nyingi za kushirikiana Tehran na Kampala.
-
Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia
Jul 31, 2017 11:05Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, askari 12 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab kusini mwa Somalia.