Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Mabomu ya kutoa machozi yarindima Uganda huku bunge likijadili mpango wa kurefusha utawala wa Museveni

    Mabomu ya kutoa machozi yarindima Uganda huku bunge likijadili mpango wa kurefusha utawala wa Museveni

    Sep 21, 2017 11:14

    Polisi wa Uganda wametumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya watu waliokusanyika kwa lengo la kuandamana kuelekea bungeni kupinga rasimu ya mswada unaolenga kurefusha muda wa kutawala Rais wa nchi hiyo Yoweri Kaguta Museveni. Rasimu hiyo ilitazamiwa kuwasilishwa mbele ya bunge baadaye leo.

  • Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Wabunge wa upinzani Uganda wadai kutishiwa maisha

    Sep 20, 2017 23:18

    Wabunge wa vyama vya upinzani nchini Uganda wamesema serikali inawatishia maisha masaa machache kabla ya bunge la nchi hiyo kujadili muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo.

  • Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Museveni: Kikomo cha umri wa kuwania urais Uganda kitaamuliwa na Bunge

    Sep 14, 2017 10:14

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amejitosa kwenye mjadala kuhusu kikomo cha umri wa kugombea urais nchini humo na kusisitiza kuwa, kauli ya mwisho kuhusu kadhia hiyo itatolewa na Bunge la nchi hiyo.

  • Mwito wa kutumiwa Kiswahili kuimarisha utangamano Afrika Mashariki

    Mwito wa kutumiwa Kiswahili kuimarisha utangamano Afrika Mashariki

    Sep 09, 2017 03:19

    Naibu Waziri Mkuu wa Uganda ametoa wito wa kutumiwa lugha ya Kiswahili kuimarisha utangamano katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Ulimwengu wa Michezo, Sep 4

    Ulimwengu wa Michezo, Sep 4

    Sep 04, 2017 01:50

    Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....

  • FAO yatoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu nchini Uganda

    FAO yatoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu nchini Uganda

    Aug 31, 2017 09:51

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu katika nchi ya Uganda iliyoko katika eneo la Afrika Mashariki.

  • Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Aug 16, 2017 23:42

    Uganda imefungua kambi mpya kwa ajili ya kuwapokea maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaozidi kumiminika kila uchao katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  •  Uganda yakadhibisha kutuma wanajeshi wake huko Kenya

    Uganda yakadhibisha kutuma wanajeshi wake huko Kenya

    Aug 14, 2017 22:01

    Serikali ya Uganda imekadhibisha madai kuwa ina nia ya kutuma wanajeshi wake huko Kenya ili kusaidia polisi wa nchi hiyo katika oparesheni za kulinda usalama baada ya kumalizika uchaguzi mkuu nchini humo.

  • Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda

    Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda

    Aug 04, 2017 10:36

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Iran na Uganda zina vyanzo vingi vya utajiri na kwamba, kuna fursa nyingi za kushirikiana Tehran na Kampala.

  • Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Jul 31, 2017 11:05

    Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, askari 12 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab kusini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS