Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Iran na Uganda zasisitiza kukuza zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uganda zasisitiza kukuza zaidi ushirikiano baina yao

    Jul 30, 2017 03:37

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda zimesisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao katika nyanja mbalimbali.

  • Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab

    Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab

    Jul 15, 2017 23:45

    Serikali ya Uganda imesema kuwa imetuma wanajeshi wake elfu mbili huko Somalia ili kuendesha mapambano dhidi ya wanamgambo wa al Shabab wenye makao yao nchini Somalia.

  • Rais Kenyatta asema kisiwa cha Migingo ni milki ya Kenya, Uganda bado inadai inakimiliki

    Rais Kenyatta asema kisiwa cha Migingo ni milki ya Kenya, Uganda bado inadai inakimiliki

    Jul 12, 2017 10:28

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kisiwa cha Migingo katika Ziwa Viktoria ni milki ya Kenya.

  • Uongozi mbaya, sababu ya mgogoro wa wawakimbizi barani Afrika

    Uongozi mbaya, sababu ya mgogoro wa wawakimbizi barani Afrika

    Jun 24, 2017 02:43

    Viongozi wa nchi za Afrika wamesema kuwa, uongozi mbaya wa watawala wa bara hilo ndio unaoitishwa Afrika mgogoro wa wakimbizi.

  • CAR kukumbwa na mgogoro wa kiuchumi kwa kuondoka wanajeshi wa Uganda

    CAR kukumbwa na mgogoro wa kiuchumi kwa kuondoka wanajeshi wa Uganda

    May 24, 2017 23:57

    Eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati litakumbwa na mgogoro wa kiuchumi baada ya wanajeshi wa Uganda kuondoka katika eneo hilo. Wanajeshi hao wa UPDF walikuwa wametumwa nchini humo kupambana na waasi wa Kikristo wa LRA.

  • EU yakataa ombi la Museveni na Magufuli la kuiondolea vikwazo Burundi

    EU yakataa ombi la Museveni na Magufuli la kuiondolea vikwazo Burundi

    May 21, 2017 23:54

    Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania amekataa ombi la marais wa Tanzania na Uganda la kuutaka umoja huo uifutie vikwazo Burundi.

  • AU yataka msaada wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikristo wa LRA

    AU yataka msaada wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikristo wa LRA

    May 20, 2017 23:03

    Umoja wa Afrika umetoa wito wa msaada wa kijeshi wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikrsito wa LRA kutoka Uganda walio katika misitu ya Jamhuri ya Afrika ya Kati wakiongozwa na Joseph Kony.

  • Uganda kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia ili kupambana na ash-Shabab

    Uganda kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia ili kupambana na ash-Shabab

    May 16, 2017 03:45

    Serikali ya Uganda imetangaza azma yake ya kuongeza idadi ya askari wake nchini Somalia kwa lengo la kupambana na magaidi wa genge la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab kupitia operesheni ya askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini humo.

  • Malango: Wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia Uganda

    Malango: Wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia Uganda

    May 10, 2017 22:58

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Uganda amesema kuwa, wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia nchini humo kila siku.

  • Uganda yaanza kuondoa vikosi vyake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Uganda yaanza kuondoa vikosi vyake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 19, 2017 10:44

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limeanza kuondoa askari wake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambao wamekuweko nchini humo tangu mwaka 2012.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS