-
Museveni aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Uganda
Feb 19, 2016 00:08Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Uganda yanaonyesha kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama tawala cha NRM, Yoweri Kaguta Museveni anaongoza kwa kupata kura nyingi zaidi zilizohesabiwa.
-
Kura zaanza kuhesabiwa Uganda, mitandao ya kijamii yafungwa
Feb 18, 2016 13:12Uchaguzi wa rais na bunge nchini Uganda ambao ulianza saa moja asubuhi leo kwa saa za nchi hiyo katika vituo vingi vya kupiga kura umemalizika saa moja jioni bila kuripotiwa visa vikubwa vya uhalifu na uchakachuaji.
-
AU yawataka raia wa Uganda kuwa watulivu baada ya uchaguzi
Feb 18, 2016 04:49Ujumbe wa waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Afrika nchini Uganda umetoa wito kwa raia wa nchi hiyo kujitokeza kwa wingi na kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuwachagua viongozi wawapendao.
-
Wananchi wa Uganda leo wanashiriki katika uchaguzi wa Rais na Bunge
Feb 17, 2016 23:15Wananchi wa Uganda waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura kumchagua Rais na wawakilishi wao wa Bunge.
-
EC yaonya wenye nia ya kuvuruga uchaguzi Uganda
Feb 17, 2016 22:42Tume ya uchaguzi nchini Uganda imewaonya vikali wenye nia ya kuvuruga zoezi la upigaji kura linalofanyika leo (Alkhamisi) na kusisitiza kuwa, watu wa aina hiyo watachukuliwa hatua kali za kisheria. Tume hiyo pia imesisitiza kuwa uchaguzi wa leo nchini Uganda utakuwa huru na wa haki.
-
Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki
Feb 17, 2016 03:55Raia wa Nchi za Afrika Mashariki wataanza kutumia paspoti za kielektroniki ambazo zitatumika kurahisisha usafiri kwa wananchi wa eneo hilo.
-
Kampeni zamalizika Uganda, uchaguzi Alkhamisi
Feb 17, 2016 03:33Nchini Uganda kampeni za uchaguzi zilimalizika Jumanne huku wagombea wa viti vya urais na ubunge wakijitayarisha kwa ajili ya upigaji kura siku ya Alkhamisi.
-
Besigye: Uchaguzi ujao hautakuwa huru na wa amani
Feb 16, 2016 11:32Mgombea urais katika uchaguzi ujao nchini Uganda na mwanasiasa ambaye anahesabiwa kuwa mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni, amelaani ukandamizaji wa jeshi la polisi dhidi ya wafuasi wa kambi ya upinzani na kusema kuwa, mwenendo huo haufai.
-
Kuongezeka mivutano ya kisiasa nchini Uganda sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi
Feb 16, 2016 09:25Sambamba na kukaribia kufanyika uchaguzi mkuu nchini Uganda hapo keshokutwa Alkhamisi, nchi hiyo inashuhudia kuongezeka mivutano ya kisiasa.
-
Serikali yazidi kuwabana wapinzani nchini Uganda
Feb 15, 2016 11:56Huku siku chache tu zikiwa zimebakia hadi kufanyika uchaguzi mkuu wa Februari 18 nchini Uganda, polisi ya nchi hiyo leo imemtia mbaroni na baadaye kuwachia Daktari Kizza Besigye, kiongozi wa chama cha upinzani cha cha FDC. Besigye amekamatwa na polisi wakati alipokuwa anakwenda kwenye mkutano wa hadhara katika wilaya yenye shughuli nyingi, jijini Kampala.