-
AU yataka uchunguzi wa mauaji ya makumi ya watu mpakani mwa Morocco, Uhispania
Jun 27, 2022 11:27Mwenyekiti wa Kamisheni ya Afrika ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya makumi ya wahajiri wa Kiafrika katika mpaka wa Morocco na Uhispania.
-
Morocco: Wahajiri 18 wameaga dunia wakijaribu kuingia eneo la Melilla la Uhispania
Jun 25, 2022 11:47Serikali ya Morocco imesema wahajiri 18 wamepoteza maisha, huku makumi ya wengine pamoja na askari polisi wakijeruhiwa katika mkanyagano wa kujaribu kuingia katika maeneo ya Melilla na Ceuta yanayodhibitiwa na Uhispania.
-
Algeria yasimamisha uhusiano wa kitalii na Uhispania, mvutano washtadi
Jun 21, 2022 07:51Serikali ya Algeria imetangaza kusimamisha uhusiano wa kitalii wa nchi hiyo na Uhispania, huku mzozo baina mataifa hayo mawili juu ya mgogoro wa Sahara Magharibi ukiongezeka.
-
Algeria yasimamisha ushirikiano na Uhispania kwa sababu ya kadhia ya Sahara Magharibi
Jun 09, 2022 12:25Algeria imechukua hatua "mara moja" kusimamisha mkataba wa Urafiki baina yake na Uhispania baada ya Madrid kubadilisha msimamo wa miongo kadhaa wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro wa Sahara Magharibi.
-
Jumapili, 29 Mei, 2022
May 29, 2022 03:25Leo ni Jumapili tarehe 27 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria mwafaka na tarehe 29 Mei mwaka 2022 Miladia.
-
Jumamosi, 7 Mei, 2022
May 07, 2022 01:17Leo ni Jumamosi tarehe 5 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 7 Mei 2022 Miladia.
-
Jumanne tarehe 12 Aprili 2022
Apr 12, 2022 02:58Leo ni Jumanne tarehe 10 Ramadhani 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Aprili 2022.
-
Algeria yamwita balozi wake wa Madrid, baada ya Uhispania kubadili msimamo kuhusu Sahara Magharibi
Mar 20, 2022 07:55Algeria imemwita nyumbani balozi wake wa Uhispania kwa ajili ya mashauriano, kutokana na matamshi ya hivi karibuni ya Madrid kuhusu mgogoro wa Sahara Magharibi.
-
Jumatano tarehe 15 Disemba 2021
Dec 15, 2021 02:28Leo ni Jumatano tarehe 10 Jamadil Awwal 1443 Hijria sawa na Disemba 15 mwaka 2021.
-
Jumanne tarehe 12 Oktoba 2021
Oct 12, 2021 17:02Leo ni Jumanne tarehe 5 Mfungua Sita Rabiul Awwal 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Oktoba 2021.