-
Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya
May 25, 2023 22:18Ubaguzi wa rangi ni silaha ya tangu na tangu, ambayo siku hizi, na licha ya kauli mbiu zote za kuwepo usawa baina ya watu wote na haki za binadamu kwa wote, ingali inatumiwa katika Ulimwengu wa Magharibi dhidi ya watu weusi na wasio Wazungu. Siku hizi katika nchi za Magharibi, watu wa rangi zingine hasa weusi, hawana hadhi sawa na weupe, licha ya wanavyojituma na michango mingi mno wanayotoa.
-
Jumatano, 12 Aprili, 2023
Apr 11, 2023 22:36Leo ni Jumatano tarehe 21 Ramadhani 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Aprili 2023.
-
Meya wa Barcelona avunja uhusiano na Israel, aitetea Palestina
Feb 09, 2023 22:55Jiji la Barcelona la kaskazini mashariki mwa Uhispania limetangaza kusimamisha uhusiano wake na utawala haramu wa Israel.
-
Jumatano tarehe 12 Oktoba 2022
Oct 11, 2022 23:07Leo ni Jumatano tarehe 15 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Oktoba 2022.
-
Ukame watishia kuzuka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania
Aug 13, 2022 21:58Ukame unaendelea kusini mwa nchi ya Ulaya ya Uhispania. Ukame huo umepelekea kukauka maji katika maeneo hayo, njaa na kupungua kipato cha wakazi wake ambao wanategemea sana kilimo na utalii. Ukame huo umezusha wasiwasi pia wa kutokea vita vya ndani baina ya jamii za watu mbalimbali wa nchi hiyo.
-
Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika
Jul 30, 2022 05:00Vifo vya kwanza vilivyotokana na ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) nje ya bara la Afrika vimeripotiwa katika nchi za Uhispania na Brazil, huku maambukizi ya ugonjwa huo yakiongezeka kote duniani hususan barani Ulaya.
-
Joto kali laua watu zaidi ya 2000 Uhispania na Ureno
Jul 22, 2022 08:37Watu zaidi ya 2000 wamepoteza maisha huko Ushipania na Ureno katika wiki za karibuni kufuatia joto kali lililovunja rekodi likiambatana na moto mkubwa wa misituni ambao umelazimisha maelfu ya watu kuzihama nyumba zao.
-
Joto kali limeua watu 500 nchini Uhispania
Jul 20, 2022 23:49Waziri mkuu wa Uhispania amesema zaidi ya watu 500 wamepoteza maisha nchini humo wakati wa wimbi la joto la siku 10 huku bara lote la Ulaya likiendelea kupata hasara kubwa kutokana na joto kali ambalo limevunja rekodi mwaka huu.
-
Waziri Mkuu Uhispania: Morocco inapaswa kulaumiwa kwa maafa ya wahajiri wa Kiafrika, Melilla
Jul 04, 2022 09:39Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba mkasa wa wahajiri wa Kiafrika katika eneo la Melilla unapaswa kuchunguzwa nchini Morocco na kwamba ni serikali ya Rabat ambayo inapaswa kuwajibika katika suala hili.
-
AU yataka uchunguzi wa mauaji ya makumi ya watu mpakani mwa Morocco, Uhispania
Jun 27, 2022 06:57Mwenyekiti wa Kamisheni ya Afrika ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya makumi ya wahajiri wa Kiafrika katika mpaka wa Morocco na Uhispania.