• Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Feb 07, 2023 05:32

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mnaponitegea sikio wakati huu. Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kusikiliza mfululizo mwingine wa vipindi hivi maalumu tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ambapo kwa leo tutazungumzia nafasi ya Qur'ani, Umaanawi, Uongozi wa Imam Khomeini na Umoja wa matabaka mbalimbali ya jamii ya Iran katika kufanikisha mapinduzi hayo. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Waislamu waadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Ali bin Abi Twalib (AS)

    Waislamu waadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Ali bin Abi Twalib (AS)

    Feb 04, 2023 07:41

    Iran imejiunga na uliwengu wa Kiislamu hii leo katika kuadhimisha siku ya kukumbuka kuzaliwa Amirul Muumin Ali (A.S) Imam wa Kwanza wa Waislamu wa Kishia ulimwenguni.

  • Warepublican waanza mchakato wa kumuondoa Ilhan Omar katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Congresi kwa kuikosoa Israel

    Warepublican waanza mchakato wa kumuondoa Ilhan Omar katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Congresi kwa kuikosoa Israel

    Feb 02, 2023 12:11

    Wanachama wa Republican katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wanajiandaa kupigia kura muswada wa kumuondoa mwakilishi wa Kidemokrati, Ilhan Omar kwenye Kamati ya Masuala ya Kigeni, siku chache baada ya kuondolewa katika Kamati ya Masuala ya Afrika, kutokana na kukosoa ukatili na mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya raia wa Palestina.

  • Twitter ya Elon Musk yawakasirisha Waislamu Marekani,

    Twitter ya Elon Musk yawakasirisha Waislamu Marekani, "CAIR" yamtaka ajifunze Uislamu

    Jan 01, 2023 04:14

    Bilionea wa Kimarekani, Elon Musk, ambaye ni mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Twitter, amewakasirisha Waislamu nchini Marekani baada ya kuchapisha picha kwenye akaunti yake ya Twitter, ikiwa na idadi ya alama za fikra na itikadi anazodai zinalenga "kupindua na kuharibu fikra na akili za watu."

  • Rais wa Iran amtumia Papa Francis Salamu za Krismasi

    Rais wa Iran amtumia Papa Francis Salamu za Krismasi

    Dec 26, 2022 12:01

    Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za pongezi kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa Nabii Isa bin Maryam-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-na kuwadia mwaka mpya wa Miladia.

  • Mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu mjini New Delhi India

    Mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu mjini New Delhi India

    Dec 13, 2022 11:50

    Duru ya tatu ya mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu iliyokuwa na anuani ya "Mchango wa Dini wa Kuishi Pamoja Katika Amani na Ustawi" umefanyika mjini New Delhi kwa kuhudhuriwa na makhatibu, shakhsia wenye vipawa na Maulamaa wa Iran na India.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (46)

    Akhlaqi Katika Uislamu (46)

    Nov 28, 2022 04:58

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 46 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitaendelea kuzungumzia na kuchambua "Akhlaqi za Kisiasa" katika Uislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (36)

    Akhlaqi Katika Uislamu (36)

    Nov 10, 2022 15:08

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 36 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitazungumzia nafasi ya akili katika Akhlaqi za Kiislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (28)

    Akhlaqi Katika Uislamu (28)

    Nov 09, 2022 07:53

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 28 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitaendelea kuzungumzia nukta nyingine ya akhlaqi katika Uislamu kwa kutilia mkazo juu ya taasisi muhimu ya familia. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (19)

    Akhlaqi Katika Uislamu (19)

    Nov 06, 2022 15:12

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 19 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu ambapo maudhui yetu ya leo ni nafasi ya suluhu, upatanishaji na maridhiano katika Uislamu.