Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Aug 31, 2024 07:29

    Ujerumani imeviondoa vikosi vyake vya kijeshi kutoka nchi ya Niger katika eneo lenye machafuko la Sahel barani Afrika.

  • Ujerumani yakosolewa kwa kumfukuza mwanachuoni wa Kiislamu

    Ujerumani yakosolewa kwa kumfukuza mwanachuoni wa Kiislamu

    Aug 29, 2024 23:12

    Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameikosoa vikali serikali ya Ujerumani kwa kumtimua nchini humo mwanachuoni mmoja mashuhuri wa Kiislamu.

  • Ijumaa, Agosti 23, 2024

    Ijumaa, Agosti 23, 2024

    Aug 22, 2024 23:05

    Leo Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Tano Safar mwaka 1446 Hijria, sawa na Agosti 23 mwaka 2024 Milaadia.

  • Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Jul 28, 2024 23:26

    Wananchi wa nchi mbalimbali za barani Ulaya kwa mara nyingine wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Gaza, Palestina.

  • Jumatatu tarehe 29 Julai 2024

    Jumatatu tarehe 29 Julai 2024

    Jul 28, 2024 23:02

    Leo ni Jumatatu tarehe 23 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria mwafaka na tarehe 29 Julai 2024.

  • Marekani yahamisha silaha zilizopigwa marufuku kutoka Ujerumani kwenda Ukraine

    Marekani yahamisha silaha zilizopigwa marufuku kutoka Ujerumani kwenda Ukraine

    Jul 28, 2024 04:34

    Vyombo vya habari vya Ujerumani vimefichua kuwa nchi hii inahifadhi mabomu yaliyopigwa marufuku ya vishada ya Marekani na kwamba inapanga kuyahamishia Ukraine.

  • Hatua mpya ya Ujerumani dhidi ya Uislamu, kupigwa marufuku kazi za kituo cha Kiislamu

    Hatua mpya ya Ujerumani dhidi ya Uislamu, kupigwa marufuku kazi za kituo cha Kiislamu

    Jul 26, 2024 07:04

    Serikali ya Ujerumani imepiga marufuku shughuli za kituo cha Kiislamu cha Hamburg na taasisi tanzu za kituo hicho licha ya umuhimu wake mkubwa kwa Waislamu.

  • Marekani na Ujerumani; Wauzaji silaha wakuu kwa utawala katili wa Israeli

    Marekani na Ujerumani; Wauzaji silaha wakuu kwa utawala katili wa Israeli

    Jul 21, 2024 03:55

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza katika ripoti yake kwamba kati ya asilimia 99 ya silaha zilizoagizwa na utawala wa Israel unaofanya mauaji ya kimbari huko Ukanda wa Gaza kati ya mwaka 2019 na 2023, asilimia 69 ilitoka Marekani na asilimia nyingine 30 kutoka Ujerumani.

  • Jumatano, Julai 10, 2024

    Jumatano, Julai 10, 2024

    Jul 09, 2024 22:54

    Leo ni Jumatano tarehe 4 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria sawa na tarehe 10 Julai 2024 Milaadia.

  • UK, Ufaransa na Ujerumani zaonywa kwa kutuma ndege kuilinda Israel katika Operesheni ya Ahadi ya Kweli

    UK, Ufaransa na Ujerumani zaonywa kwa kutuma ndege kuilinda Israel katika Operesheni ya Ahadi ya Kweli

    May 16, 2024 03:55

    Brigedia Jenerali Esmail Qa’ani, Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametoa onyo kwa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa baada ya nchi hizo tatu za Troika ya Ulaya kupeleka ndege zao za kivita kuulinda utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya operesheni ya kulipiza kisasi ya Ahadi ya Kweli iliyofanywa na Iran mwezi uliopita wa Aprili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS