• Vituo vya matibabu ya akili vyataka kutangazwa hali ya hatari Israel

    Vituo vya matibabu ya akili vyataka kutangazwa hali ya hatari Israel

    Jan 01, 2024 23:19

    Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limefichua kuwa, tangu ilipoanza operesheni ya #Kimbunga_cha_al-Aqsa hadi hivi sasa, zaidi ya wakazi laki tatu wa utawala wa Kizayuni wameingia kwenye orodha ya watu wenye matatizo ya akili na saikolojia huko Israel.

  • Waandamanaji Uturuki: Marekani ndiye shetani halisi

    Waandamanaji Uturuki: Marekani ndiye shetani halisi

    Jan 01, 2024 08:25

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Uturuki wamekusanyika nje ya Ubalozi Mdogo wa Marekani mjini Istanbul katika maandamano ya kuonyesha himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina hususan wa Ukanda wa Gaza wanaoendelea kukabiliwa na hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala haramu wa Israel.

  • HAMAS yalaani pendekezo la kuwafurusha wakazi wa Gaza

    HAMAS yalaani pendekezo la kuwafurusha wakazi wa Gaza

    Jan 01, 2024 08:24

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeashiria mpango wa Israel wa kuwafukuza kwa umati Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa, pendekezo la viongozi wa utawala huo wa Kizayuni la kutaka kupunguzwa idadi ya wakazi wa Gaza ni jinai ya kivita.

  • Wazayuni waendelea kufanya mauaji ya kinyama Ghaza, kutokea angani, ardhini na baharini

    Wazayuni waendelea kufanya mauaji ya kinyama Ghaza, kutokea angani, ardhini na baharini

    Dec 30, 2023 23:00

    Mashambulizi ya kinyama na kikatili ya utawala wa Kizayuni ya angani, ardhi na majini yanaendelea kwenye Ukanda wa Ghaza hasa katika maeneo ya katikati na kusini mwa ukanda huo.

  • WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    Dec 28, 2023 03:09

    Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa mara nyingine tena limeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kutisha ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua za dharura za kukomesha 'maafa ya kibinadamu' yanayowakabili Wapalestina wa ukanda huo.

  • Wazayuni  wakiri kushindwa katika vita vya Gaza

    Wazayuni wakiri kushindwa katika vita vya Gaza

    Dec 28, 2023 00:51

    kuchukua muda mrefu vita vya Gaza kumewafanya, baadhi ya Wazayuni kukiri kushindwa utawala ghasibu wa Israel katika vita vyake vya jinai huko Gaza.

  • Israel yashambulia makao makuu ya Hilali Nyekundu Gaza

    Israel yashambulia makao makuu ya Hilali Nyekundu Gaza

    Dec 26, 2023 23:23

    Vikosi vya jeshi katili la utawala haramu wa Israel vimeshambulia kwa mabomu makao makuu ya Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Waislamu US wamlaani Biden kwa kuunga mkono maangamizi ya kizazi Gaza

    Waislamu US wamlaani Biden kwa kuunga mkono maangamizi ya kizazi Gaza

    Dec 25, 2023 08:18

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeijia juu serikali ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kwa kile lilichokitaja kuwa ni 'mchango amilifu' wa Washington kwa mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Balozi wa Iran: Ulaya ichukue hatua za maana kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Balozi wa Iran: Ulaya ichukue hatua za maana kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Dec 25, 2023 07:12

    Balozi wa Iran nchini Iraq amesema nchi za Ulaya zinapasa kuchukua hatua za maana kwa ajili ya kukomesha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Mbali na kuua watoto wachanga, Wazayuni wanafanya uporaji pia Ghaza

    Mbali na kuua watoto wachanga, Wazayuni wanafanya uporaji pia Ghaza

    Dec 23, 2023 23:09

    Mkuu wa Ofisi ya Upashaji Habari ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa mbali na jinai zao nyingine nyingine kama za kuua watoto wachanga, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wanafanya uporaji pia wa mali za Wapalestina wakati wanapoingia kwenye nyumba walizozivunja kwa mashambulizi ya kikatili na kinyama huko Ghaza.