-
Ajuza Muisrael aliyekuwa mateka asimulia alivyokirimiwa na wapiganaji wa HAMAS+VIDEO
Oct 24, 2023 11:02Mwanamke mzee Muisrael aliyeachiliwa huru na wapiganaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema alikirimiwa na kutendewa wema katika muda wa wiki mbili alipokuwa ameshikiliwa mateka na kundi hilo la wanamapambano wa Palestina.
-
"Shambulio la Israel dhidi ya kanisa Gaza linakumbusha tabia za ISIS"
Oct 21, 2023 04:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la Israel dhidi ya Kanisa la Saint Porphyrius katika Ukanda wa Gaza na kueleza kuwa, "Shambulio la Israel dhidi ya kanisa Gaza linashabihiana na nyendo za kundi la kigaidi la ISIS."
-
Jumuiya ya OANA yataka kulindwa waandishi wa habari Gaza
Oct 19, 2023 23:28Jumuiya ya Mashirika ya Habari ya Asia-Pasifiki (OANA) imesisitizia haja ya kudhaminiwa usalama na ulinzi waandishi wa habari walioko katika Ukanda wa Gaza.
-
Umoja wa Afrika walaani shambulizi la kikatili la Israel dhidi ya hospitali Gaza
Oct 18, 2023 08:55Umoja wa Afrika umelaani vikali shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya hospitali ya Al Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza hapo jana na kuua mamia ya watu.
-
Abdollahian alaani jinai za Israel Gaza: Muda wa utawala wa Kizayuni umemalizika
Oct 18, 2023 08:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kitendo cha Israel cha kushambulia kwa mabomu hospitali na shule katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kueleza kuwa: Muda wa kubaki hai utawala wa Kizayuni umemalizika.
-
Balozi wa Israel atimuliwa Colombia kulalamikia jinai za Wazayuni Ukanda wa Ghaza
Oct 17, 2023 02:32Duru mbalimbali za habari zimetangaza usiku wa kuamkia leo Jumanne kwamba, nchi ya Colombia ya Amerika ya Latini imemtimua balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni kulalamikia jinai za utawala huo dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ghaza.
-
Abdollahian: Wamagharibi wanapotosha ukweli ili wahalalishe jinai za israel huko Gaza
Oct 14, 2023 04:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Magharibi zinafuatilia kupotosha ukweli wa mambo juu ya matukio yanayoshuhudiwa katika Ukanda wa Gaza, ili kwa njia hiyo zihalalishe jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika eneo hilo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu.
-
Israel yataka wakazi wote wa kaskazini mwa Gaza wahame; imeshaua Wapalestina 1,570
Oct 13, 2023 04:13Utawala wa Kizayuni wa Israel umeuambia Umoja wa Mataifa kuwa, kuna haja kwa wakazi wote wa eneo la kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kuondoka na kwenda katika maeneo mengine ya ukanda huo katika kipindi cha saa 24 zijazo.
-
Raisi aitaka jamii ya kimataifa isimamishe jinai za Israel Ukanda Gaza
Oct 11, 2023 23:03Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameikumbusha jamii ya kimataifa kuwa ina wajibu wa kukomesha mgogoro katika wa Ukanda wa Gaza, ambapo Wapalestina wa eneo hilo wanakabililiwa na kila aina ya jinai kutoka kwa Wazayuni.
-
EU: Israel inakanyaga sheria za kimataifa kwa kuiwekea mzingiro Gaza
Oct 11, 2023 08:38Umoja wa Ulaya umesema kuwa utawala wa Israel umekiuka sheria za kimataifa kwa kuuweka Ukanda wa Gaza chini ya mzingiro.