-
UN: Kuiwekea Gaza mzingiro wa kila kitu ni 'marufuku' chini ya sheria za kimataifa
Oct 10, 2023 11:58Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema, mzingiro wa kila kitu ambao Israel imeamua kuuwekea Ukanda wa Gaza, na kuwanyima raia bidhaa muhimu kwa ajili ya maisha, umepigwa marufuku chini ya sheria za kimataifa.
-
Wapalestina wamkumbuka Rachel Corrie, nembo ya mapambano dhidi ya Israel
Mar 17, 2022 05:25Wapalestina wanaadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya mwanaharakati na mwanamapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel, Rachel Corrie, aliyeuawa na wanajeshi wa utawala huo ghasibu, kwa kufanya matamasha ya aina mbalimbali na matukio ya michezo.
-
Kukataa utawala wa Kizayuni kushirikiana na Baraza la Haki za Binadamu la UN
Feb 19, 2022 23:22Utawala wa Kizayuni umekataa kushirikiana na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa. Mwakilishi wa Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa Tel Aviv haitashirikiana na jopokazi la uchunguzi la baraza hilo kwa ajili ya kuchunguza mashambulizi ya mwezi Mei mwaka jana ya utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Ghaza.
-
Kuwait yapiga marufuku filamu ya 'Death on the Nile' iliyoigizwa na Muisraeli
Feb 07, 2022 23:19Kuwait imepiga marufuku kuonyeshwa kwa filamu ya Kimarekani ya Death on the Nile, iliyotengenezwa kutoka kwenye riwaya yenye majina ya Agatha Christie na kuchezwa na mwigizaji wa Israel, Gal Gadot.
-
Jumapili, tarehe 28 Juni, 2020
Jun 27, 2020 22:02Leo ni Jumapili tarehe 6 Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Juni 28 mwaka 2020
-
Wapalestina kadhaa wauawa shahidi na wanajeshi wa Israel Ukanda wa Gaza
Feb 23, 2020 09:58Askari wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua shahidi Wapalestina wawili katika uzio unaotenganisha Ukanda wa Gaza na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Wazayuni waendelea kushambulia Ghaza licha ya makubaliano ya kusitisha vita
Nov 16, 2019 04:22Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni mapema leo asubuhi zimefanya mashambulizi mengine katika Ukanda wa Ghaza licha ya Israel yenyewe kuomba usitishaji vita na wanamuqawama wa Palestina.
-
Wazayuni waua watoto 16 wa Kipalestina
Jul 10, 2019 03:14Kituo cha Haki za Binadamu cha Mizan kimetoa ripoti na kusema kuwa, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2019, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshaua shahidi watoto 16 wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kwa makusudi.
-
Iran yalaani jinai za Wazayuni huko Ghaza, Marekani yapongeza jinai hizo
May 05, 2019 22:38Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina waliozingirwa kila upande katika Ukanda wa Ghaza.
-
Askari wa Israel waua shahidi Wapalestina wawili katika maandamano Ghaza
Mar 30, 2019 11:20Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua shahidi Wapalestina wawili na kuwajeruhi wengine kadhaa katika Ukanda wa Ghaza wakati wa maandamano ya amani yaliyoitishwa kwa lengo la kuadhimisha kuanza 'Maandamano Makubwa ya Kurejea' na 'Siku ya Ardhi ya Palestina.'