Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • UN: Kuiwekea Gaza mzingiro wa kila kitu ni 'marufuku' chini ya sheria za kimataifa

    UN: Kuiwekea Gaza mzingiro wa kila kitu ni 'marufuku' chini ya sheria za kimataifa

    Oct 10, 2023 11:58

    Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema, mzingiro wa kila kitu ambao Israel imeamua kuuwekea Ukanda wa Gaza, na kuwanyima raia bidhaa muhimu kwa ajili ya maisha, umepigwa marufuku chini ya sheria za kimataifa.

  • Wapalestina wamkumbuka Rachel Corrie, nembo ya mapambano dhidi ya Israel

    Wapalestina wamkumbuka Rachel Corrie, nembo ya mapambano dhidi ya Israel

    Mar 17, 2022 05:25

    Wapalestina wanaadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya mwanaharakati na mwanamapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel, Rachel Corrie, aliyeuawa na wanajeshi wa utawala huo ghasibu, kwa kufanya matamasha ya aina mbalimbali na matukio ya michezo.

  • Kukataa utawala wa Kizayuni kushirikiana na Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Kukataa utawala wa Kizayuni kushirikiana na Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Feb 19, 2022 23:22

    Utawala wa Kizayuni umekataa kushirikiana na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa. Mwakilishi wa Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa Tel Aviv haitashirikiana na jopokazi la uchunguzi la baraza hilo kwa ajili ya kuchunguza mashambulizi ya mwezi Mei mwaka jana ya utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Ghaza.

  • Kuwait yapiga marufuku filamu ya 'Death on the Nile' iliyoigizwa na Muisraeli

    Kuwait yapiga marufuku filamu ya 'Death on the Nile' iliyoigizwa na Muisraeli

    Feb 07, 2022 23:19

    Kuwait imepiga marufuku kuonyeshwa kwa filamu ya Kimarekani ya Death on the Nile, iliyotengenezwa kutoka kwenye riwaya yenye majina ya Agatha Christie na kuchezwa na mwigizaji wa Israel, Gal Gadot.

  • Jumapili, tarehe 28 Juni, 2020

    Jumapili, tarehe 28 Juni, 2020

    Jun 27, 2020 22:02

    Leo ni Jumapili tarehe 6 Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Juni 28 mwaka 2020

  • Wapalestina kadhaa wauawa shahidi na wanajeshi wa Israel Ukanda wa Gaza

    Wapalestina kadhaa wauawa shahidi na wanajeshi wa Israel Ukanda wa Gaza

    Feb 23, 2020 09:58

    Askari wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua shahidi Wapalestina wawili katika uzio unaotenganisha Ukanda wa Gaza na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Wazayuni waendelea kushambulia Ghaza licha ya makubaliano ya kusitisha vita

    Wazayuni waendelea kushambulia Ghaza licha ya makubaliano ya kusitisha vita

    Nov 16, 2019 04:22

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni mapema leo asubuhi zimefanya mashambulizi mengine katika Ukanda wa Ghaza licha ya Israel yenyewe kuomba usitishaji vita na wanamuqawama wa Palestina.

  • Wazayuni waua watoto 16 wa Kipalestina

    Wazayuni waua watoto 16 wa Kipalestina

    Jul 10, 2019 03:14

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Mizan kimetoa ripoti na kusema kuwa, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2019, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshaua shahidi watoto 16 wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kwa makusudi.

  • Iran yalaani jinai za Wazayuni huko Ghaza, Marekani yapongeza jinai hizo

    Iran yalaani jinai za Wazayuni huko Ghaza, Marekani yapongeza jinai hizo

    May 05, 2019 22:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina waliozingirwa kila upande katika Ukanda wa Ghaza.

  • Askari wa Israel waua shahidi Wapalestina wawili katika maandamano Ghaza

    Askari wa Israel waua shahidi Wapalestina wawili katika maandamano Ghaza

    Mar 30, 2019 11:20

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua shahidi Wapalestina wawili na kuwajeruhi wengine kadhaa katika Ukanda wa Ghaza wakati wa maandamano ya amani yaliyoitishwa kwa lengo la kuadhimisha kuanza 'Maandamano Makubwa ya Kurejea' na 'Siku ya Ardhi ya Palestina.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS