-
Jeshi la Israel lajeruhi Wapalestina katika maandamano ya 49 ya 'Haki ya Kurejea"
Mar 02, 2019 02:57Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Ghaza Ijumaa ya jana walishiriki katika wiki ya 49 ya maandamano makubwa ya amani ya 'Haki ya Kurejea' ambapo idadi kadhaa ya washiriki wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala haramu wa Isarel.
-
HAMAS: Lengo la Muamala wa Karne ni kuzitenganisha Gaza na Ukingo wa Magharibi
Jan 08, 2019 21:29Mwanachama Mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Palestina HAMAS amesema kuwa lengo la mpango wa Kimarekani unaoitwa 'Muamala wa Karne' ni kuutenganisha Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Indhari ya Wizara ya Afya ya Palestina kuhusu hali mbaya katika hospitali za Ghaza
Sep 09, 2018 23:40Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha juu ya kusimamishwa shughuli za hospitali na vituo vya afya vya Ukanda wa Ghaza kutokana na kumalizika mafuta na nishati ya kuendeshea jenereta.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali inayotia wasiwasi ya Ukanda wa Gaza
Jul 24, 2018 07:03Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hali ya Ukanda wa Gaza ni ya "maafa" na ametahadharisha kwamba, hali hiyo itazidi kuwa mbaya.
-
Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina
May 31, 2018 10:18Baada ya wanamapambano wa Palestina kutoa majibu makali dhidi ya mashambulizi ya kivamizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni, hatimaye baraza la masuala ya usalama la Israel limesema kuwa, utawala huo hauna nia yoyote ya kuukalia tena kwa mabavu Ukanda wa Ghaza.
-
Marekani yawalaumu Wapalestina kwa kuuawa na askari wa Israel, Gaza
May 15, 2018 22:11Ikulu ya Marekani White House imejitokeza kuutetea hadharani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 54 waliokuwa wakishiriki maandamano katika Ukanda wa Gaza siku ya Jumatatu.
-
Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa
May 06, 2018 02:55Wapalestina wasiopungua sita wanachama wa harakakati ya muqawama ya Palestina Hamas wameuawa katika mripuko wa bomu ulioukumba Ukanda wa Gaza jana Jumamosi.
-
UN: Asilimia 72 ya wakazi wa Ghaza hawana usalama wa chakula
Mar 18, 2018 04:49Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina (OCHA) imetangaza kuwa asilimia 72 ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza hawana usalama wa chakula.
-
Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza
Mar 14, 2018 10:47Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Msafara wa kuushinikiza utawala wa Israel uondoe mzingiro dhidi ya Wapalestina Ghaza
Mar 10, 2018 23:57Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Kuvunja Mzingiro wa Ukanda wa Ghaza amesema taasisi za kuunga mkono Palestina zitatuma misafara ya kuvunja mzingiro wa Ghaza pasina kujali vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.