Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Jeshi la Israel lajeruhi Wapalestina katika maandamano ya 49 ya 'Haki ya Kurejea

    Jeshi la Israel lajeruhi Wapalestina katika maandamano ya 49 ya 'Haki ya Kurejea"

    Mar 02, 2019 02:57

    Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Ghaza Ijumaa ya jana walishiriki katika wiki ya 49 ya maandamano makubwa ya amani ya 'Haki ya Kurejea' ambapo idadi kadhaa ya washiriki wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala haramu wa Isarel.

  • HAMAS: Lengo la Muamala wa Karne ni kuzitenganisha Gaza na Ukingo wa Magharibi

    HAMAS: Lengo la Muamala wa Karne ni kuzitenganisha Gaza na Ukingo wa Magharibi

    Jan 08, 2019 21:29

    Mwanachama Mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Palestina HAMAS amesema kuwa lengo la mpango wa Kimarekani unaoitwa 'Muamala wa Karne' ni kuutenganisha Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Indhari ya Wizara ya Afya ya Palestina kuhusu hali mbaya katika hospitali za Ghaza

    Indhari ya Wizara ya Afya ya Palestina kuhusu hali mbaya katika hospitali za Ghaza

    Sep 09, 2018 23:40

    Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha juu ya kusimamishwa shughuli za hospitali na vituo vya afya vya Ukanda wa Ghaza kutokana na kumalizika mafuta na nishati ya kuendeshea jenereta.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali inayotia wasiwasi ya Ukanda wa Gaza

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali inayotia wasiwasi ya Ukanda wa Gaza

    Jul 24, 2018 07:03

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hali ya Ukanda wa Gaza ni ya "maafa" na ametahadharisha kwamba, hali hiyo itazidi kuwa mbaya.

  • Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina

    Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina

    May 31, 2018 10:18

    Baada ya wanamapambano wa Palestina kutoa majibu makali dhidi ya mashambulizi ya kivamizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni, hatimaye baraza la masuala ya usalama la Israel limesema kuwa, utawala huo hauna nia yoyote ya kuukalia tena kwa mabavu Ukanda wa Ghaza.

  • Marekani yawalaumu Wapalestina kwa kuuawa na askari wa Israel, Gaza

    Marekani yawalaumu Wapalestina kwa kuuawa na askari wa Israel, Gaza

    May 15, 2018 22:11

    Ikulu ya Marekani White House imejitokeza kuutetea hadharani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 54 waliokuwa wakishiriki maandamano katika Ukanda wa Gaza siku ya Jumatatu.

  • Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa

    Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa

    May 06, 2018 02:55

    Wapalestina wasiopungua sita wanachama wa harakakati ya muqawama ya Palestina Hamas wameuawa katika mripuko wa bomu ulioukumba Ukanda wa Gaza jana Jumamosi.

  • UN: Asilimia 72 ya wakazi wa Ghaza hawana usalama wa chakula

    UN: Asilimia 72 ya wakazi wa Ghaza hawana usalama wa chakula

    Mar 18, 2018 04:49

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina (OCHA) imetangaza kuwa asilimia 72 ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza hawana usalama wa chakula.

  • Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Mar 14, 2018 10:47

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Msafara wa kuushinikiza utawala wa Israel uondoe mzingiro dhidi ya Wapalestina Ghaza

    Msafara wa kuushinikiza utawala wa Israel uondoe mzingiro dhidi ya Wapalestina Ghaza

    Mar 10, 2018 23:57

    Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Kuvunja Mzingiro wa Ukanda wa Ghaza amesema taasisi za kuunga mkono Palestina zitatuma misafara ya kuvunja mzingiro wa Ghaza pasina kujali vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS