-
Watoto wachanga wafariki Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama wa Israel
Feb 20, 2018 12:14Kituo cha kutetea haki za binadamu Palestina kimetoa taarifa na kusema watoto sita wachanga wameaga dunia katika hospitali za Ukanda wa Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama uliowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel na hivyo kupelekea hospitali kukosa dawa za dharura.
-
Jumatano tarehe 17 Januari, 2018
Jan 16, 2018 23:09Leo ni Jumatano tarehe 29 Rabiuthani 1439 Hijria, inayosadifiana na Januari 17, 2018
-
Ijumaa, Novemba 3, 2017
Nov 03, 2017 00:38Leo ni Ijumaa tarehe 14 Mfunguo Tano Safar 1439 Hijria sawa na Novemba 3, 2017 Milaadia.
-
Jeshi la Israel lashambulia ngome za Hamas Ukanda wa Gaza
Oct 09, 2017 04:30Vikosi vya Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel vimeshambulia kile vinachodai kuwa ni ngome za Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas, katika Ukanda wa Gaza.
-
UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza
Aug 30, 2017 10:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mzingiro wa kibaguzi wa karibu muongo mmoja dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Jumanne 15 Agosti, 2017
Aug 14, 2017 21:59Leo ni Jumanne tarehe 22 Dhulqaada 1438 Hijria sawa na Agosti 15, 2017.
-
Jumatano tarehe 28 Juni, 2017
Jun 27, 2017 21:57Leo ni Jumatano tarehe 28 Juni 2017.
-
Wapalestina wa Gaza wasusia kula kuwaunga mkono wafungwa wa Kipalestina
Apr 28, 2017 03:22Wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza wamesusia kula chakula ili kuonyesha uungaji mkono wao kwa wafungwa wa Kipalestina ambao wanadhalilishwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.
-
Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2017 04:22Jeshi la utawala katili wa Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi watu kadhaa.
-
Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7
Feb 09, 2017 03:43Kwa akali Wapalestina wawili wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya watano wakijeruhiwa baada ya ndege ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutekeleza hujuma ya anga katika mji wa Rafah, Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.