-
Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa
May 06, 2018 02:55Wapalestina wasiopungua sita wanachama wa harakakati ya muqawama ya Palestina Hamas wameuawa katika mripuko wa bomu ulioukumba Ukanda wa Gaza jana Jumamosi.
-
UN: Asilimia 72 ya wakazi wa Ghaza hawana usalama wa chakula
Mar 18, 2018 04:49Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina (OCHA) imetangaza kuwa asilimia 72 ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza hawana usalama wa chakula.
-
Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza
Mar 14, 2018 10:47Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Msafara wa kuushinikiza utawala wa Israel uondoe mzingiro dhidi ya Wapalestina Ghaza
Mar 10, 2018 23:57Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Kuvunja Mzingiro wa Ukanda wa Ghaza amesema taasisi za kuunga mkono Palestina zitatuma misafara ya kuvunja mzingiro wa Ghaza pasina kujali vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Watoto wachanga wafariki Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama wa Israel
Feb 20, 2018 12:14Kituo cha kutetea haki za binadamu Palestina kimetoa taarifa na kusema watoto sita wachanga wameaga dunia katika hospitali za Ukanda wa Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama uliowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel na hivyo kupelekea hospitali kukosa dawa za dharura.
-
Jumatano tarehe 17 Januari, 2018
Jan 16, 2018 23:09Leo ni Jumatano tarehe 29 Rabiuthani 1439 Hijria, inayosadifiana na Januari 17, 2018
-
Ijumaa, Novemba 3, 2017
Nov 03, 2017 00:38Leo ni Ijumaa tarehe 14 Mfunguo Tano Safar 1439 Hijria sawa na Novemba 3, 2017 Milaadia.
-
Jeshi la Israel lashambulia ngome za Hamas Ukanda wa Gaza
Oct 09, 2017 04:30Vikosi vya Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel vimeshambulia kile vinachodai kuwa ni ngome za Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas, katika Ukanda wa Gaza.
-
UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza
Aug 30, 2017 10:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mzingiro wa kibaguzi wa karibu muongo mmoja dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Jumanne 15 Agosti, 2017
Aug 14, 2017 21:59Leo ni Jumanne tarehe 22 Dhulqaada 1438 Hijria sawa na Agosti 15, 2017.