• Mwangwi wa mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza

    Mwangwi wa mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza

    Apr 28, 2016 23:37

    Ripoti mbalimbali kutoka Ukanda wa Gaza huko Palestina zinasema kuwa, hali ya mambo katika eneo hilo imezidisha wasiwasi wa fikra za waliowengi duniani na inaakisi mgogoro mkubwa wa kibinadamu katika eneo hilo linalozingirwa na Wazayuni maghasibu.

  • Majasusi 5 wa Israel wahukumiwa kifo Gaza

    Majasusi 5 wa Israel wahukumiwa kifo Gaza

    Apr 19, 2016 22:20

    Majasusi watano wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamehukumiwa adhabu ya kifo katika Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Apr 15, 2016 23:42

    Wapalestina wa maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na hali ngumu na ya kusikitisha ya Wapalestina wa Gaza

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na hali ngumu na ya kusikitisha ya Wapalestina wa Gaza

    Apr 15, 2016 03:10

    Baada ya kupita miaka 10, eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu lingali limewekewa mzingiro na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel; na kutokana na kuendelea kukumbwa na mashambulio ya ndege za utawala huo ghasibu, fursa la kulikarabati na kulijenga upya eneo hilo imebaki kuwa ndoto.

  • Hamas yaonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Ghaza

    Hamas yaonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Ghaza

    Apr 06, 2016 02:59

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, ameonya kuhusu maafa ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.

  • Kuendelea harakati za kimataifa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa Palestina

    Kuendelea harakati za kimataifa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa Palestina

    Mar 01, 2016 23:17

    Kuendelea hatua zisizo za kibinadamu za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina sambamba na kuendelea mzingiro dhidi ya Gaza na vile vile hujuma na uvamizi wa mara kwa mara wa utawala huo dhidi ya Ukanda wa Gaza unaofanyika kwa baraka za Marekani, kumelifanya eneo hilo kukabiliwa na hali mbaya mno ya kibinadamu.

  • Hamas yaionya Israel kuhusu vita

    Hamas yaionya Israel kuhusu vita

    Feb 26, 2016 23:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kuibuka tetesi kuwa utawala huo unapanga kuanzisha vita vipya dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Misri yafunga tena kivuko cha Rafah

    Misri yafunga tena kivuko cha Rafah

    Feb 17, 2016 03:41

    Misri imefunga tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina walio chini ya mzingiro huko Ghaza.