Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Borrell: Gaza limegeuka kaburi kubwa zaidi la wazi duniani

    Borrell: Gaza limegeuka kaburi kubwa zaidi la wazi duniani

    Mar 19, 2024 03:29

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya huku akieleza wasiwasi mkubwa alionao kuhusu mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa, eneo hilo la Wapalestina lililozingirwa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la wazi duniani.

  • Jihadul Islami: US na Isreal zinafuatilia malengo sawa Gaza

    Jihadul Islami: US na Isreal zinafuatilia malengo sawa Gaza

    Mar 16, 2024 07:20

    Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema pamoja na unafiki na hadaa za Marekani, lakini dola hilo la kiistikbari linafuatilia malengo yanayoshabihiana na ya Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Mar 10, 2024 11:20

    Akihutubia bunge la Marekani siku ya Alkhamisi, Rais Joe Biden alisema ameliamuru jeshi la nchi hiyo kuweka bandari kwenye pwani ya Gaza katika Bahari ya Mediterania.

  • EU yaikosoa Israel kwa kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza

    EU yaikosoa Israel kwa kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza

    Mar 03, 2024 07:39

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuzuia kuingizwa na kusambazwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.

  • "Kamishna wa Haki wa UN achukue hatua za kukomesha jinai za Israel Gaza"

    Feb 28, 2024 07:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaka Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa achukue hatua madhubuti za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Morocco: Gaza inashuhudia janga la kuogofya la kibinadamu

    Morocco: Gaza inashuhudia janga la kuogofya la kibinadamu

    Feb 28, 2024 06:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amesema Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na 'janga la kibinadamu' wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel umeshadidisha mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya eneo hilo lililozingirwa.

  • Walimwengu wailaani US kwa kutumia veto kuzuia usitishaji vita Gaza

    Walimwengu wailaani US kwa kutumia veto kuzuia usitishaji vita Gaza

    Feb 21, 2024 02:57

    Mataifa na mashirika mbali mbali ya kimataifa yamelaani vikali hatua ya Marekani ya kutumia kura yake ya turufu kupinga rasimu ya azimio iliyowasilishwa na Algeria katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, la kutaka kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Mkutano wa mawaziri wa Kiarabu Riyadh wataka kuhitimishwa vita vya Gaza

    Mkutano wa mawaziri wa Kiarabu Riyadh wataka kuhitimishwa vita vya Gaza

    Feb 09, 2024 12:34

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa matano ya Kiarabu walmekutana Riyadh mji mkuu wa Saudi Arabia na kuutoa mwito wa kusitishwa vita huko Gaza.

  • Israel yapuuza amri ya ICJ, yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Israel yapuuza amri ya ICJ, yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Jan 27, 2024 11:52

    Utawala haramu wa Israel umedharau uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kuutaka uchukue hatua zote zinazohitajika kuzuia vitendo vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, na badala yake jeshi la utawala huo pandikizi limeendelea kumwaga damu za Wapalestina wa Gaza.

  • Seneta Sanders: Washington ni mshirika wa jinai za Israel huko Gaza

    Seneta Sanders: Washington ni mshirika wa jinai za Israel huko Gaza

    Jan 25, 2024 11:42

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amesema serikali ya Washington ni mshirika katika jinai za kutisha za Israel huko Ukanda wa Gaza kutokana na uungaji mkono wake kwa utawala huo unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS