Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Hamas: Israel imeingia katika marhala mpya ya mauaji ya kimbari Gaza

    Hamas: Israel imeingia katika marhala mpya ya mauaji ya kimbari Gaza

    Aug 17, 2025 23:57

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Jiji la Gaza na kuwahamisha kwa nguvu wakazi wake na kusisitiza kuwa, huo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Makundi ya mapambano ya Palestina yalaani mauaji ya Israel dhidi ya waandishi wa habari

    Makundi ya mapambano ya Palestina yalaani mauaji ya Israel dhidi ya waandishi wa habari

    Aug 11, 2025 04:16

    Makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina yamelaami vikali mauaji ya halaiki yaliyofanywa na Israel dhidi ya waandishi habari na wapiga picha kadhaa katika Ukanda wa Gaza.

  • Simulizi ya daktari Mmarekani aliyerejea kutoka Gaza; mauaji makubwa ya kimbari yanajiri katika eneo hilo

    Simulizi ya daktari Mmarekani aliyerejea kutoka Gaza; mauaji makubwa ya kimbari yanajiri katika eneo hilo

    Aug 10, 2025 05:23

    Mark Browner, daktari wa Marekani aliyerejea hivi karibuni kutoka Ukanda wa Gaza, amesema katika taarifa yake kwamba mauaji makubwa ya kimbari yanatokea katika eneo hilo na kwamba watu wengi wameaga dunia kwa njaa hivi karibuni katika eneo hilo.

  • Afisa wa UN: Israel inawasababishia njaa kwa makusudi watu wa Gaza

    Afisa wa UN: Israel inawasababishia njaa kwa makusudi watu wa Gaza

    Jul 23, 2025 00:20

    Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu anasema utawala wa Israel unawaua kwa makusudi watu wa Gaza na kupuuza maagizo ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ya kusitisha jinai zake.

  • WHO yasikitishwa na mashambulizi ya Israel dhidi ya wahudumu wake Gaza

    WHO yasikitishwa na mashambulizi ya Israel dhidi ya wahudumu wake Gaza

    Jul 22, 2025 00:54

    Jeshi la Israel lilishambulia mara tatu makazi ya wafanyakazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika Ukanda Gaza, pamoja na ghala lake kuu jana Jumatatu , amesema mkuu wa shirika hilo la Umoja wa Mataifa.

  • Umoja wa Mataifa waonya juu ya mgogoro wa njaa Gaza; misaada inaendelea kuzuiwa

    Umoja wa Mataifa waonya juu ya mgogoro wa njaa Gaza; misaada inaendelea kuzuiwa

    Jul 07, 2025 08:31

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeonya kwamba, mfumo wa chakula wa Gaza uko kwenye ukingo wa kuporomoka kabisa, huku hatua ya kuzuiwa msaada wa kibinadamu kuingia katika eneo hilo kukitishia maisha zaidi.

  • Hamas yakaribisha mwito wa BRICS wa kuondoka vikosi vya Israel huko Palestina

    Hamas yakaribisha mwito wa BRICS wa kuondoka vikosi vya Israel huko Palestina

    Jul 07, 2025 07:20

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekaribisha kwa mikono miwili wito wa kundi la nchi zinazoinukia kiuchumi BRICS kwa utawala haramu wa Israel, wa kukomesha vita vyake vya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, na kuondokaa kikamilifu katika eneo hilo la pwani lililozingirwa, na ardhi zote za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Malaki waandamana Hague, Brussels kuonyesha mshikamano na Gaza

    Malaki waandamana Hague, Brussels kuonyesha mshikamano na Gaza

    Jun 16, 2025 06:52

    Makumi ya maelfu ya watu waliovalia mavazi mekundu wameandamana katika mitaa ya mji wa Hague nchini Uholanzi na mjini Brussels huko Ubelgiji kuonyesha mshikamano na Wapalestina wa Gaza sanjari na kushinikiza hatua zaidi kutoka kwa serikali zao dhidi ya mauaji ya kimbari katika eneo hilo la Palestina lililozingirwa.

  • Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'

    Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'

    Jun 09, 2025 07:58

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imeonya kuwa, mfumo wa huduma za afya katika Ukanda wa Gaza ni "dhaifu sana" wakati huu ambapo vita vya Israel vinaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.

  • "Kuuawa viongozi wa Muqawama kunaimarisha irada ya Wapalestina"

    Jun 08, 2025 23:19

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali mauaji ya Israel dhidi ya afisa mashuhuri wa Muqawama na watu wengine 30 katika mji wa Gaza na kusisitiza kuwa, mauaji hayo yanayolenga viongozi wa mrengo wa mapambano kamwe hayatadhoofisha uthabiti na azma ya wananchi wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS