-
Kremlin: Russia itatumia silaha za nyuklia uwepo wake ukitishiwa
Mar 23, 2022 07:18Ikulu ya Russia ya Kremlin imesema nchi hiyo haitakuwa na chaguo jingine isipokuwa kutumia silaha za nyuklia iwapo uwepo wa taifa hilo utakabiliwa na vitisho.
-
Russia yajibu madai ya Biden ya matumizi ya silaha za kibaolojia nchini Ukraine
Mar 22, 2022 08:24Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Ryabkov amesema Jumanne leo kwamba matamshi yaliyotolewa na Rais wa Marekani, Joe Biden kuhusu uwezekano wa Russia kutumia silaha za kemikali na za kibaolojia huko Ukraine ni ya kihabithi.
-
Shutuma za Russia kwa Marekani inayokwamisha mazungumzo ya Ukraine
Mar 21, 2022 22:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergeĭ Viktorovich Lavrov ameishutumu vikali Marekani kwa siasa zake kuhusu vita vya Ukraine na kusema kuwa, Washington ndiyo inayokwamisha kufikiwa makubaliano baina ya Moscow na Kyiv hata katika masuala madogo kabisa. Amesema, hivi sasa Marekani inawatwisha viongozi wa Ukraine misimamo yake na ndio maana Kyiv inakwamisha kila kitu katika mazungumzo yake na Russia.
-
Papa Francis atoa wito wa kukomesha vita nchini Ukraine
Mar 21, 2022 04:16Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani ametoa wito wa kusitishwa vita nchini Ukraine.
-
Nasrullah akanusha madai ya kuwepo vikosi vya Hizbullah nchini Ukraine
Mar 19, 2022 08:55Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekanusha vikali ripoti ya baadhi ya vyombo vya habari inayodai kuwa wapiganaji kadhaa na washauri wa kijeshi wa harakati hiyo ya muqawama wapo Ukraine kupigana katika safu moja na wananajeshi wa Russia.
-
China: Ufunguo wa mgogoro wa Ukraine uko mikononi mwa NATO na Marekani
Mar 18, 2022 03:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema ufunguo wa mgogoro wa Ukraine uko mikononi mwa NATO na Marekani ambao ndio wasababishaji wake wakuu.
-
Russia yaangamiza mifumo 11 ya ulinzi wa makombora ya jeshi la Ukraine
Mar 17, 2022 19:03Wizara ya Ulinzi ya Russia imetoa taarifa ikibainisha kuhusu mchakato wa mashambulizi ya nchi hiyo huko Ukraine na kutangaza kuwa, katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita imeangamiza ndege mbili za kivita, droni 12 na ghala moja la kijeshi la Ukraine.
-
Amir Abdollahian: Iran inaunga mkono juhudi za kutatua mzozo wa Ukraine
Mar 15, 2022 04:46Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono juhudi za kisiasa za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Ukraine.
-
Macron na Biden waafikiana kuongeza vikwazo dhidi ya Russia
Mar 14, 2022 04:43Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amezungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Marekani kuhusu mashambulio ya Russia dhidi ya Ukraine, na pande hizo mbili zimekubaliana kuzidisha vikwazo dhidi ya Moscow.
-
Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO
Mar 13, 2022 23:23Josep Borrell Fontelles, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amekiri kuwa kitendo cha umoja huo cha kuipa ahadi Ukraine ya kuiunga na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, lilikuwa kosa.