Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Maelfu ya Wamarekani wajisajili kwenda kupigana Ukraine

    Maelfu ya Wamarekani wajisajili kwenda kupigana Ukraine

    Mar 04, 2022 08:44

    Maelfu ya wananchi wa Marekani wameuandikia barua ubalozi wa Ukraine mjini Washington wakiomba kuruhusiwa kwenda kupigana na jeshi la Russia wakishirikiana na wanajeshi wa Ukraine.

  • Iran yasisitiza kutumiwa njia ya kisiasa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Ukraine

    Iran yasisitiza kutumiwa njia ya kisiasa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Ukraine

    Mar 03, 2022 04:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kutumiwa njia ya kisiasa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Ukraine.

  • Russia: Lazima Ukraine ipokonywe silaha na isiwe na nguvu za kijeshi

    Russia: Lazima Ukraine ipokonywe silaha na isiwe na nguvu za kijeshi

    Mar 03, 2022 03:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, nchi yake inataka iwepo orodha ya silaha ambazo Ukraine haitaweza katu kuwa na nazo na wala hazitatengenezwa nchini humo.

  • Russia: Tumeangamiza zaidi ya vituo 1,300 vya kijeshi vya Ukraine katika siku ya sita ya vita

    Russia: Tumeangamiza zaidi ya vituo 1,300 vya kijeshi vya Ukraine katika siku ya sita ya vita

    Mar 02, 2022 03:51

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa katika siku ya sita ya opereseheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imeangamiza vituo zaidi ya 1,300 vya kijeshi vya Ukraine na aina kwa aina ya miundombinu ya kijeshi ya nchi hiyo.

  • Vita vya Ukraine na mabadiliko ya uwiano wa nguvu barani Ulaya

    Vita vya Ukraine na mabadiliko ya uwiano wa nguvu barani Ulaya

    Mar 01, 2022 06:39

    Kuanza vita vya Russia na Ukraine kumevuruga mlingano wa kijeshi hasa miongoni mwa mataifa ya Ulaya, kiasi kwamba Ujerumani imetenga Euro bilioni 100 kwa ajili ya bajeti yake ya kijeshi, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya mfumo wake wa ulinzi.

  • Kiongozi Muadhamu: Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala wa kimafia wa Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala wa kimafia wa Marekani

    Mar 01, 2022 04:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni utawala wa kimafia na kwamba, Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za Washington.

  • Mazungumzo ya Russia na Ukraine yamalizika huko Belarus, haijulikani kama yataendelea au la

    Mazungumzo ya Russia na Ukraine yamalizika huko Belarus, haijulikani kama yataendelea au la

    Feb 28, 2022 10:22

    Televisheni ya taifa ya Russia imetangaza kuwa duru ya kwanza ya mazungumzo kati ya wajumbe wa nchi hiyo na Ukraine imemalizika nchini Belarus, lakini haijafahamika iwapo mazungumzo hayo yataendelea au la.

  • WHO yatahadharisha kuhusu uhaba wa oksijeni katika hospitali za Ukraine

    WHO yatahadharisha kuhusu uhaba wa oksijeni katika hospitali za Ukraine

    Feb 28, 2022 04:19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha juu uhaba wa mitungi ya oksijeni katika hospitali za Ukraine katika kipindi cha masaa 24 yajayo.

  • Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia

    Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia

    Feb 27, 2022 00:22

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, na Rais wa Russia, Vladimir Putin, walifanya mazungumza ya simu Alhamisi iliyopita kuhusu masuala ya kimataifa na mazungumzo yanayoendelea huko Vienna kuhusu suala la kuondolewa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Iran.

  • Rais wa Ukraine akataa

    Rais wa Ukraine akataa "ofa" ya Marekani, asema: Nahitaji silaha na si kukimbia nchi yangu

    Feb 26, 2022 05:22

    Wakati milio ya sauti za silaha nzito ikiendelea kurindima katika viiunga vya mji mkuu wa Ukraine, Kiev baada ya kusita kwa muda mfupi usiku wa kuamkia leo, Rais wa Ukraine amekata "ofa" ya Marekani ya kumsaidia kuondoka nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS