Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Jumanne tarehe 24 Agosti mwaka 2021

    Jumanne tarehe 24 Agosti mwaka 2021

    Aug 23, 2021 22:11

    Leo ni Jumanne tarehe tarehe 15 Muharram 1443 Hijria sawa na tarehe 24 Agosti 2021.

  • Onyo lisilo na kifani la Putin kwa Wamagharibi kuhusu kuvuka mistari myekundu ya Russia

    Onyo lisilo na kifani la Putin kwa Wamagharibi kuhusu kuvuka mistari myekundu ya Russia

    Apr 23, 2021 22:51

    Rais Vladimir Putin wa Russia amehutubu mbele ya wajumbe wa mabunge mawili ya nchi hiyo, Duma na Seneti, na magavana wa maeneo yote ya nchi hiyo ambapo ametoa onyo kali kwa nchi za Magharibi.

  • Khatibzadeh: Mizozo ya Afghanistan inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kisiasa

    Khatibzadeh: Mizozo ya Afghanistan inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kisiasa

    Dec 28, 2020 08:52

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njia ya kuipatia ufumbuzi mizozo na mivutano inayoikabili Afghanistan ni utatuzi wa kisiasa.

  • Jumatatu tarehe 24 Agosti mwaka 2020

    Jumatatu tarehe 24 Agosti mwaka 2020

    Aug 23, 2020 22:12

    Leo ni Jumatatu tarehe 4 Mfunguo Nne Muharram 1442 Hijria sawa na Agosti 24 mwaka 2020.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza akumbwa na corona, mtu mmoja anafariki dunia kila dakika 13 nchini humo

    Waziri Mkuu wa Uingereza akumbwa na corona, mtu mmoja anafariki dunia kila dakika 13 nchini humo

    Mar 27, 2020 09:08

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amekumbwa na ugonjwa hatari wa COVID-19 unaoenea kwa kasi kubwa kote ulimwenguni.

  • Iran na Ukraine zasisitizia kutoingizwa siasa katika suala la kuanguka ndege ya Ukraine

    Iran na Ukraine zasisitizia kutoingizwa siasa katika suala la kuanguka ndege ya Ukraine

    Feb 11, 2020 04:29

    Katibu Mkuu wa Baraza la Uslama wa Taifa la Iran na Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Ukraine, kwa pamoja wamesisitiza kutoingizwa siasa katika faili la kuanguka ndege ya abiria ya Ukraine nchini hapa.

  • Russia: Hatua za Marekani zimesababisha maafa ya ndege ya Ukraine mjini Tehran

    Russia: Hatua za Marekani zimesababisha maafa ya ndege ya Ukraine mjini Tehran

    Jan 11, 2020 23:07

    Naibu Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Ulinzi ya Bunge la Russia (Duma) amesema kuwa, ni muhimu kutilia maanani uhakika kwamba, hatua za kichochezi za Marekani dhidi ya Iran ndiyo sababu ya tukio chungu la kuangushwa ndege ya Ukraine mjini Tehran.

  • Rais Rouhani: Kosa la kibinadamu kutokana na vitisho vya Marekani ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya Ukraine

    Rais Rouhani: Kosa la kibinadamu kutokana na vitisho vya Marekani ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya Ukraine

    Jan 11, 2020 04:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kosa la kibinadamu lililotokana na vitisho vya Marekani vya kushambulia maeneo nyeti nchini Iran ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya abiria ya Ukraine karibu na Tehran.

  • Ndege ya abiria ya Ukraine yawaka moto Tel Aviv, Israel

    Ndege ya abiria ya Ukraine yawaka moto Tel Aviv, Israel

    Jan 10, 2020 08:39

    Ndege ya abiria aina ya Boing 737-800 ya Shirika la Ndege la Ukraine, imewaka moto katika uwanja wa ndege wa Tel Aviv, Israel.

  • Ukraine: Hitilafu za ufundi ndizo zilizoangusha ndege yetu karibu na Tehran

    Ukraine: Hitilafu za ufundi ndizo zilizoangusha ndege yetu karibu na Tehran

    Jan 08, 2020 07:41

    Ubalozi wa Ukraine mjini Tehran umesema kuwa, hitilafu za kiufundi ndizo zilizopelekea kuanguka ndege ya nchi hiyo karibu na mkoa wa Tehran, hapa nchini Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS