-
Onyo la Marekani kuhusu kurejea nyuma katika mazungumzo ya vita vya Ukraine
Apr 21, 2025 02:24Marco Rubio Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametangaza kuwa, Rais Donald Trump atajiondoa katika juhudi za kupatanisha makubaliano ya amani kati ya Russia na Ukraine ndani ya siku chache zijazo isipokuwa kama kutakuwa na dalili za wazi kwamba makubaliano yanaweza kufikiwa.
-
Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan
Apr 08, 2025 09:42Mamia ya familia zimefurushwa kutoka vijiji viwili magharibi mwa Sudan baada ya mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF). Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).
-
Diop: Ukraine inachochea ukosefu wa utulivu barani Afrika
Apr 08, 2025 06:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali, Abdoulaye Diop amesema Ukraine inavuruga utulivu barani Afrika kwa kuunga mkono makundi ya kigaidi katika eneo la Sahel barani humo.
-
Zelenskyy: Ukraine imepokea pendekezo jipya la Marekani kuhusu makubaliano ya madini
Mar 30, 2025 02:37Rais wa Ukraine amesema kuwa Kiev imepokea pendekezo jipya kutoka Marekani kuhusu makubaliano ya madini.
-
Niger yajitoa rasmi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa, Francophone
Mar 19, 2025 04:14Niger imejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Kimataifa ya nchi zinazozungumza Kifaransa (OIF) au Francophone sambamba na juhudi zinazoendelea kufanywa na taifa hilo la Afrika Magharibi za kuvunja uhusiano na kujitenga na mkoloni wake wa zamani, Ufaransa.
-
Kuanza tena Marekani kuipa Ukraine silaha, Putin atoa masharti
Mar 15, 2025 02:23Sambamba na kujaribu kuonesha kuwa msimamo wa Marekani umebadilika kuhusu Russia, rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anapanga kupeleka shehena mpya ya silaha kwa Ukraine ili kuendeleza vita na Russia ikiwa ni kuonesha siasa zilezile za kila siku za nyuso mbili za Marekani.
-
CAIR: Matukio ya chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani yalivunja rekodi katika mwaka 2024
Mar 12, 2025 02:39Vitendo vya ubaguzi na mashambulizi dhidi ya Waislamu na Waarabu nchini Marekani vilivunja rekodi mnamo mwaka uliopita wa 2024 sambamba na kuendelea vita vya kikatili vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza Oktoba 7, 2023.
-
Mazungumzo yaliyogubikwa na mvutano mkubwa kati ya Trump na Zelensky
Mar 01, 2025 13:36Viongozi wenye mielekeo ya Kimagharibi wa Ukraine waliipa mgongo Russia baada ya matukio ya mwaka 2014 na kuingia madarakani serikali kibaraka kwa Magharibi huko Ukraine kwa himaya na msaada wa pande zote wa nchi za magharibi hususan Marekani na Ulaya; na walitaka nchi hiyo kujiunga na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) na Umoja wa Ulaya (EU) na kukata uhusiano na Russia.
-
Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO
Feb 27, 2025 10:59Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine "isahau" kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo ni pigo kwa azma ya muda mrefu ya nchi hiyo ya Ulaya, ambayo iliungwa mkono na Rais wa zamani Joe Biden.
-
CNN: Marekani imejitenga na nchi za Magharibi katika suala la Ukraine
Feb 26, 2025 06:37Televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza kuwa: Washington imejitenga na nchi za Magharibi kuhusu suala la Ukraine, na hili ndilo jambo lililobadilishwa na Donald Trump kuhusu nafasi ya Marekani kimataifa.