-
The Economist: Ukraine inahitaji muda wa karne kadhaa kuweza kulipa deni la fedha kwa Marekani
Feb 25, 2025 09:45Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na gazeti la The Economist linalochapishwa nchini Uingereza, ikiwa Ukraine itatia saini makubaliano na Marekani ya kulipa fidia ya dola bilioni 500, kwa kuzingatia kasi yake ya sasa ya ukuaji wa uchumi, itahitaji mamia ya miaka ili kuweza kulipa deni lake hilo.
-
Ujerumani yajitutumua, yatoa onyo dhidi ya Marekani
Feb 22, 2025 11:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema Ulaya haipaswi kusita kuweka mashinikizo dhidi ya Marekani, iwapo Washington itashindwa kukumbatia 'demokrasia ya kiliberali'.
-
EU yamkingia kifua Zelensky baada ya kushambuliwa vikali na Trump
Feb 21, 2025 06:50Mvutano kati ya Ulaya na Marekani umeendelea kushtadi, baada ya viongozi wa nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya kumkingia kifua Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine, aliyeshambulia kwa maneno makali na Rais Donald Trump wa Marekani hivi karibuni.
-
Katibu Mkuu wa UN: Hakuna kisingizio cha kuikosesha Afrika kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama
Feb 18, 2025 13:42Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, hakuna kisingizio cha kuifanya Afrika iendelee kuwa haina uwakilishi wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Waziri Mkuu wa Italia: EU isichukue msimamo unaogongana na wa Marekani katika kadhia ya Ukraine
Feb 18, 2025 13:41Waziri Mkuu wa Italia Giorgia Meloni amesema, Umoja wa Ulaya haupaswi kuchukua msimamo ambao utakinzana na sera ya Marekani kuhusu Ukraine. Hayo ni kwa mujibu wa shirika rasmi la habari la Italia ANSA.
-
NBC: Trump amtaka Zelensky ampatie umiliki wa asilimia 50 wa madini adimu ya Ukraine
Feb 16, 2025 07:59Kwa mujibu wa maafisa wanne wa Marekani, utawala wa Trump umependekeza kwa Ukraine kwamba iwapo nchi hiyo itaipatia Marekani asilimia 50 ya madini yake adimu, iko tayari kutuma wanajeshi wake ili kuilinda Ukraine iwapo itafikia makubaliano na Russia.
-
Moscow: Zelensky 'ana kichaa' kwa kutaka silaha za nyuklia za NATO
Feb 06, 2025 02:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema mwito wa Rais wa Ukraine, Vladimir Zelensky wa kutaka Kyev ipewe silaha za nyuklia na shirika la kijeshi la NATO unatia wasiwasi mkubwa.
-
Mbunge wa Ukraine aitaka EU imuue kigaidi Rais Putin
Feb 01, 2025 07:21Mbunge wa Ukraine, Aleksey Goncharenko amewataka wazi wazi wabunge wa Umoja wa Ulaya kuunga mkono wazo la kuuawa Rais wa Russia, Vladimir Putin na kulipigia debe miongoni mwa watu wa kawaida.
-
CNN: Idadi ya wanajeshi wa Marekani waliouawa nchini Ukraine inaongezeka
Jan 31, 2025 13:28Televisheni ya CNN ya Marekani imeripoti kuwa idadi ya wanajeshi wa Marekani waliouawa kwenye mstari wa mbele wa vita nchini Ukraine imeongezeka katika kipindi cha miezi 6 iliyopita.
-
Moscow: Marekani inachuma pesa kutokana na vita vya Ukraine
Jan 24, 2025 03:34Msemaji wa Kremlin amekosoa himaya ya kifedha na kisiasa ya Washington kwa serikali ya Kiev na kusema: Marekani inapata pesa kwa kuuza rasilimali zake za nishati za bei ya juu kwa watu wa Ulaya walioathiriwa na vita.