-
Kuwarejesha wanachama wa Daesh raia wa Ulaya; wenzo wa mashinikizo mapya wa Uturuki
Nov 17, 2019 02:35Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uturuki imewafukuza Istanbul raia saba wa nchi za nje wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Araqchi: Iran imepunguza uwajibikaji wake ili kuyalinda makubaliano ya JCPOA
Nov 12, 2019 12:04Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala ya Kisiasa amesema kuwa lengo la Tehran kupunguza ahadi na uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo.
-
Sisitizo la Rais Macron wa Ufaransa kuwa Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo
Nov 09, 2019 07:35Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa aklilidunisha Shirika la Kijeshi la Muungano wa Nchi za Magharibi (NATO) huku akikosoa wananchama wa muungano huo kutokana na kutoshiriki katika kuchangia bajeti ya muungano huo hasa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi.
-
Juhudi za Ulaya za kujipapatua kutoka kwenye kinamasi cha shari za "Madaesh" wake
Nov 06, 2019 08:51Nchi kubwa za barani Ulaya kama vile Uingereza na Ufaransa zina mchango mkubwa wa kuundwa na kupata nguvu magenge mbalimbali ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) na lengo lao kubwa lilikuwa ni kuwatumia magaidi hao kuipindua serikali halali ya Syria. Hata hivyo nchi hizo zimefeli vibaya.
-
Wakati nchi za Ulaya zinapochoshwa na uadui wa Trump na kuamua kujibu vita vya kiuchumi
Oct 20, 2019 06:26Viongozi wa Ulaya wamekasirishwa mno na vita vipya vya kiuchumi vilivyoanzishwa na rais wa Marekani, baada ya Donald Trump kutangaza ushuru mpya kwa bidhaa za nchi za Ulaya na hivyo kuingia katika vita vikubwa mno vya ushuru na waitifaki hao wa miaka mingi wa Marekani.
-
Russia: Ulaya pia imechoshwa na siasa za ubeberu za Marekani
Oct 19, 2019 15:33Waziri Mkuu wa Russia, Dmitry Medvedev amesema kuwa, nchi za Ulaya pia zimechochwa na siasa za ubeberu za Marekani.
-
Athari za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran zafika katika fukwe za Ulaya
Oct 16, 2019 04:34Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran vimeanza kuziathiri nchi za Ulaya kwa njia isiyo ya moja kwa moja.
-
Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo
Oct 16, 2019 02:56Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.
-
Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)
Oct 15, 2019 08:10Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutoa onyo kuhusiana na kuibukka upya shughuli za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kitendo cha kuondoa askari wa Kimarekani katika maeneo yanayoshambuliwa na Uturuki huko kaskazini mwa Syria, kimeandaa uwanja wa kufufuka upya kundi hilo la ukufurishaji ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Zarif aikosoa Ulaya kwa kufuata mdundo wa ngoma ya Trump
Sep 30, 2019 07:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali nchi za Ulaya hususan Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, kwa kushangilia madai na kauli zisizo na msingi zinazotolewa na Marekani dhidi ya Iran.