-
Gadi ya pwani ya Libya yaokoa makumi ya wahajiri
Sep 30, 2019 02:36Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza kuwaokoa wahajiri haramu wapatao 70 baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterania.
-
Rouhani: Nchi za Ulaya zimekiri hazijui aliyeshambulia Aramco
Sep 28, 2019 02:40Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema licha ya nchi za Ulaya kuituhumu Tehran kuwa imehusika katika mashambulizi yaliyolenga kituo kikubwa cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia, lakini viongozi wa nchi hizo wamekiri wazi kuwa hawajui ni nani aliyetekeleza hujuma hizo.
-
Rouhani: Madai ya Ujerumani, Uingereza na Ufaransa dhidi Iran hayana msingi wowote
Sep 24, 2019 03:49Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali tuhuma zilizotolewa na Ujerumani, Uingereza na Ufaransa kuwa eti Iran ilihusika katika mashambulizi yaliyolenga kituo kikubwa cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, madai hayo haya msingi wowote.
-
Trump azionya nchi za Ulaya, azitaka ziwachukue raia wake waliojiunga na ISIS
Sep 21, 2019 12:15Rais Donald Trump wa Marekani amezionya nchi za Ulaya akizitaka zihakikishe zimewachukua raia wao waliojiunga na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na wanaoendelea kushikiliwa nchini Iraq na Syria.
-
Mtazamo unaogongana wa Ulaya kuhusiana na JCPOA
Sep 10, 2019 07:14Licha ya kuwa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya ( Ujerumani, Ufaransa na Uingrereza) zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 zimekuwa zikisisitiza mara kwa mara udharura wa kulindwa mapatano ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), lakini hazijaweza kuwasilisha rekodi nzuri ya utendaji wao katika uwanja huo.
-
Hatua mpya za Marekani dhidi ya JCPOA; kupinga mpango wa Ufaransa na kutangaza vikwazo vipya dhidi ya Iran
Sep 06, 2019 02:25Rais Donald Trump wa Marekani alisikika mara kadha wa kadha akiyakosoa vikali makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na hatimaye mnamo tarehe 8 Mei, 2018 akatangaza rasmi kujitoa nchi yake katika makubaliano hayo. Kilichofuata baada ya hapo, ilikuwa ni kutekelezwa na serikali ya Trump katika awamu mbili tofauti vikwazo vikali dhidi ya Iran sambamba na kupinga mpango wowote wa kuyalinda makubaliano hayo ya nyuklia.
-
EuroMed Rights yatoa wito wa kukabiliana na jinai za Israel
Sep 05, 2019 11:08Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu Ulaya na Miditerania (EuroMed Rights) imelitaka Bunge la Uswisi lisisalimu amri mbele ya mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel yanayolitaka lisipasishe sheria ya kuwakamata maafisa waliohusishwa na jinai za kivita dhidi ya Wapalestina.
-
Tishio jingine la Donald Trump la kuwahamishia magaidi wa Daesh katika nchi za Ulaya
Aug 23, 2019 02:25Nafasi ya Marekani na washirika wake wa Magharibi na wa Kiarabu katika kuanzisha na kueneza harakati za makundi ya kigaidi na kitakfiri likiwemo la Daesh si ya kukanushika hata kidogo.
-
Wahajiri zaidi ya 500 wakwama katika pwani ya Ulaya
Aug 13, 2019 11:15Wahajiri haramu zaidi ya 500 ambao wako katika boti katika pwani ya Ulaya baada ya kuokolewa na huku boti hizo zikisubiri kuruhusiwa kutia nanga wamekwama katika bahari ya Mediterania.
-
Taathira hasi za siasa za serikali ya Marekani dhidi ya Iran kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya
Aug 09, 2019 02:45Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amesisitiza kuwa siasa zinazotekelezwa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya Iran zimekuwa na taathira hasi kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya.