-
Viongozi wa Kiislamu Uganda waunga mkono serikali kuhusu mwaka mpya + Sauti
Jan 02, 2022 06:52Serikali ya Uganda imepiga marufuku mijumuiko ya kusherehekea mwaka mpya ili kuzuia maambukizi ya Corona hatua ambayo imeungwa mkono na viongozi wa Kiislamu
-
Mchango wa Maulamaa wa Kishia (19) +SAUTI
Feb 09, 2021 18:43Ahlan Wasahlan wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu, ambacho huwatambulisha na kuwazungumzia Maulamaa wakubwa wa Kishia, mchango wao katika Uislamu pamoja na vitabu na athari zao.
-
Maulamaa wa Kiislamu wakosoa hatua ya Imarati na Bahrain ya kuanzisha uhusiano na Israel
Sep 17, 2020 13:14Wananchi na maulamaa katika nchi za Kiislamu wametangaza kuwa wanapinga kuanzishwa uhusiano rasmi na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa kufanya hivyo ni kuwasaliti Waislamu duniani.
-
Maqarii wa Qurani wa Ulimwengu wa Kiislamu walaani kuvunjiwa heshima Mtume SAW
Sep 11, 2020 07:42Maqarii mashuhuri wa Qurani Tukufu kutoka kona mbalimbali za dunia wamekutana mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambapo kwa kauli moja, wamelaani vikali hatua ya jarida la Kifaransa la Charlie Hebdo ya kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Khatibzadeh: Makubaliano ya Imarati na Israel ni jeraha kwa Ulimwengu wa Kiislamu
Aug 24, 2020 13:13Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makubaliano ya utawala wa Imarati na Israel ya kuanzisha uhusiano baina yao ni jeraha kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Waislamju katu hawatasahau khiana na usaliti huu dhidi ya Quds.
-
Hamas yataka wanazuoni wa Kiislamu waunde kamati ya kuzima njama za Israel
Jun 15, 2020 03:11Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa mwito kwa wanazuoni wa Kiislamu kuunda kamati ya uratibu itakayopewa jukumu la kuunda na kutekeleza mpango wa kistratajia wa kuunga mkono kadhia ya Palestina na kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel na Rais Donald Trump wa Marekani zilizopewa jina la "Muamala wa Karne."
-
Iran yaungana na ulimwengu wa Kiislamu katika maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Imam Mahdi (AF)
Apr 09, 2020 03:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeungana na ulimwengu wa Kiislamu hii leo kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Mahdi (AF).
-
Kiongozi Muadhamu: India isitishe mauaji ya Waislamu iwapo haitaki kutengwa
Mar 05, 2020 13:25Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitahadharisha serikali ya India dhidi ya kuendelea kutekeleza mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, ukandamizaji unaoendelea kufanyiwa Waislamu katika nchi hiyo ya kusini mwa Asia utapelekea serikali ya New Delhi itengwe katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Erdogan: Inasikitisha taasisi za Kiislamu zimefeli kushughulikia matatizo ya Waislamu
Dec 19, 2019 13:15Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameelezea kusikitishwa kwake na udhaifu wa taasisi na jumuiya za Kiislamu ambazo zimeshidnwa kupatia ufumbuzi changamoto na matatizo yanayozikabili nchi za Kiislamu.
-
Ayatullah Araki: Njia pekee ya kuyapatia ufumbuzi matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu ni kuwa na umoja na mshikamano
Nov 30, 2019 11:55Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu ameashiria juu ya kuweko njama za maadui za kuzusha hitilafu na mifarakano baina ya Waislamu na kusema kuwa, pekee ya kuyapatia ufumbuzi matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu ni kuweko ushirikiano, umoja na mshikamano baina ya wananchi na mataifa ya Kiislamu.