Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ulimwengu wa Kiislamu

  • Banki za Iran ni kati ya banki 10 bora za Kiislamu duniani

    Banki za Iran ni kati ya banki 10 bora za Kiislamu duniani

    Sep 08, 2019 03:30

    Jarida moja maarufu la kimataifa limeorodhesha banki tatu za Iran kuwa kati ya banki 10 bora za Kiislamu duniani.

  • Jumatano, Mei 8, 2019

    Jumatano, Mei 8, 2019

    May 08, 2019 01:22

    Leo ni Jumatano tarehe Pili Ramadhani 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Mei 2019 Milaadia

  • "Iran ni mpiganiaji mkubwa wa umoja wa nchi za Kiislamu"

    Apr 28, 2019 16:07

    Mtaalamu mmoja wa ulimwengu wa Kiislamu kutoka Nigeria amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima iko mstari wa mbele katika kupigania umoja na mshikamano baina ya nchi za Kiislamu.

  • Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu laanza Tehran

    Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu laanza Tehran

    Apr 28, 2019 07:10

    Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu katika Dira ya Mwaka 2035 limeng'oa nanga hii leo hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran, kwa kuwaleta pamoja wanazuoni na wajumbe kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Brunei yaanza kutumia sheria za Kiislamu kuwaadhibu wazinzi na mashoga

    Brunei yaanza kutumia sheria za Kiislamu kuwaadhibu wazinzi na mashoga

    Apr 04, 2019 02:38

    Jamhuri ya Brunei jana Jumatano ilianza kutekeleza awamu ya pili ya sheria za Kiislamu katika adhabu ya makosa ya jinai nchini humo.

  • Ulimwengu wa Spoti, Jan 28

    Ulimwengu wa Spoti, Jan 28

    Jan 28, 2019 07:26

    Hujambo mpenzi msikilizaji wa na haswa mpenzi na mfuatiliaji wa spoti, na karibu tuangazie baadhi ya matukio ya michezo ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa...

  • Maneno na Sira ya Mtume Mtukufu SAW; mwongozo wa umoja wa ulimwengu wa Kiislamu

    Maneno na Sira ya Mtume Mtukufu SAW; mwongozo wa umoja wa ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 05, 2018 10:06

    Katika kipindi cha miaka 10 aliyoishi katika mji mtakatifu wa Madina, Mtume Mtukufu SAW alikuwa mfano unaong'ara na usio na mfano wake wa kuimarisha umoja na udugu wa Kiislamu katika jamii ya Kiislamu.

  • Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu

    Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu

    Dec 01, 2018 10:28

    Assalamu Alaykum msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran popote pale ulipo wakati huu na karibu kusikiliza kipindi hiki maalumu cha Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu uliofanyika hapa mjini Tehran kuanzia tarehe 24 hadi 26 Novemba 2018, kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja ya maadhimisho ya kuzaliwa Kiongozi na Muunganishi wa Umma wa Kiislamu, Bwana Mtume Muhammad SAW. Endelea basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Wiki ya Umoja: Uislamu unaoshajiisha Umoja; dharura ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu

    Wiki ya Umoja: Uislamu unaoshajiisha Umoja; dharura ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 20, 2018 12:11

    Tuko katika siku tukufu za Wiki ya Umoja wa Kiislamu, ambayo ni wiki ya kuadhimishwa uzawa na maulidi ya Mtume Mtukufu Muhammad (saw).

  • Ayatullah Kashani: Wazayuni wanachochea malumbano baina ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

    Ayatullah Kashani: Wazayuni wanachochea malumbano baina ya Waislamu wa Kishia na Kisunni

    Jul 06, 2018 13:18

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa Wazayuni wanaibua hitilafu baina ya Waislamu na katika upande wa pili vyombo vya habari vinashabikia hitilafu hizo ili kuonyesha taswira isiyo sahihi ya Uislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS