Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ulimwengu wa Kiislamu

  • Meja Jenerali Baqeri: Natumai amani na utulivu utatawala katika ulimwengu wa Kiislamu

    Meja Jenerali Baqeri: Natumai amani na utulivu utatawala katika ulimwengu wa Kiislamu

    Jun 14, 2018 08:04

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ana wingi wa matumaini kwamba karibuni hivi amani na utulivu utashuhudiwa katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Waislamu duniani watakiwa kuungana kukabiliana na adui Mzayuni

    Waislamu duniani watakiwa kuungana kukabiliana na adui Mzayuni

    Feb 01, 2018 07:55

    Sayyid Ali Fadhlullah, Imam wa Sala ya Ijumaa ya Beirut Lebanon na Sheikh Maher Hamoud, Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama wamesisitizia wajibu wa kuungana ulimwengu wa Kiislamu na wa Kiarabu katika kukabiliana na uadui wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Rouhani: Mataifa ya Kiislamu yatazima njama ya Marekani na Israel

    Rouhani: Mataifa ya Kiislamu yatazima njama ya Marekani na Israel

    Dec 12, 2017 03:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja, muqawama na mapambano ya Wapalestina na nchi nyingine za Kiislamu bila shaka yatapelekea kusambaratika kwa njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni ya kuitambua Quds tukufu kuwa 'mji mkuu' wa utawala haramu wa Israel.

  • Imamu wa Swala ya Idi Tehran: Hija inapaswa kuzingatia matatizo ya Waislamu

    Imamu wa Swala ya Idi Tehran: Hija inapaswa kuzingatia matatizo ya Waislamu

    Sep 01, 2017 08:20

    Hatibu wa Swala ya Idul Adh'ha iliyoswaliwa mapema leo mjini Tehran amesema kuwa, falsafa ya amali za ibada halisi ya Hija ni kutilia maanani masuala na matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu na mashaka yanayowakumba Waislamu kote duniani.

  • Ayatullah Araki: Wamagharibi walianzisha kundi la Daesh ili kukabiliana na Mapinduzi ya Kiislamu

    Ayatullah Araki: Wamagharibi walianzisha kundi la Daesh ili kukabiliana na Mapinduzi ya Kiislamu

    Aug 22, 2017 02:40

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, ulimwengu wa Magharibi hasa Marekani umekuwa ukitumia mbinu na nyenzo mbalimbali kwa ajili ya kukabiliana na Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Jenerali Qassem Soleimani: Iran ni chemchemu ya uthabiti katika eneo

    Jenerali Qassem Soleimani: Iran ni chemchemu ya uthabiti katika eneo

    Aug 21, 2017 02:31

    Kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Iran haijawahi katu kuzusha mgogoro na kulea utakfiri; na leo hii imekuwa chemchemu ya uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Sheikh Abdul Amir Qabalan: Viongozi wa nchi za Kiislamu waweke kando hitilafu zao

    Sheikh Abdul Amir Qabalan: Viongozi wa nchi za Kiislamu waweke kando hitilafu zao

    Jul 28, 2017 07:31

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon ametoa wito wa kuitishwa kikao cha haraka cha viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kwa ajili ya kutatua matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Al Zahar: Israel ni adui wa nchi zote za Kiislamu

    Al Zahar: Israel ni adui wa nchi zote za Kiislamu

    Apr 30, 2017 16:14

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ni adui wa nchi zote za Kiislamu na kwamba njama za utawala huo pandikizi zinalenga kuuangamiza ulimwengu mzima wa Kiislamu.

  • Sheria mpya ya Trump dhidi ya Waislamu yalaaniwa kote duniani

    Sheria mpya ya Trump dhidi ya Waislamu yalaaniwa kote duniani

    Mar 07, 2017 07:14

    Sheria mpya ya kibaguzi ya Donald Trump, Rais wa Marekani, inakabiliwa na wimbi la lalama na ukosoaji kutoka kila upande, ndani na nje ya nchi.

  • Nabih Berri: Nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani

    Nabih Berri: Nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani

    Feb 21, 2017 13:58

    Spika wa Bunge la Lebanon ameziasa nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani kulalamikia mpango wa Washington wa kutaka kuhamishia ubaloizi wake ulioko Israel huko Quds Tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS