• Gwiji wa soka duniani, Pele, afariki akiwa na umri wa miaka 82

    Gwiji wa soka duniani, Pele, afariki akiwa na umri wa miaka 82

    Dec 30, 2022 03:02

    Pele, mchezaji mashuhuri wa soka wa Brazil ambaye anatajwa kuwa mwanasoka bora zaidi katika historia, ameaga dunia.

  • Erdogan: Ronaldo alikalishwa benchi Kombe la Dunia kutokana na uungaji mkono kwa Palestina

    Erdogan: Ronaldo alikalishwa benchi Kombe la Dunia kutokana na uungaji mkono kwa Palestina

    Dec 26, 2022 11:48

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amedai kuwa nyota wa soka wa Ureno Cristiano Ronaldo alipigwa marufuku ya kisiasa wakati wa michuano ya Kombe la Dunia ya FIFA ya 2022 iliyomalizika hivi karibuni nchini Qatar kwa kuunga mkono Palestina.

  • Ureno yaisasambua Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016

    Ureno yaisasambua Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016

    Jul 11, 2016 07:44

    Ahlan wasahlan wamarhaba mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na hususan ashiki wa spoti natumai huna neno. Baada ya kupezana kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na kupumzishwa kipindi hiki cha Ulimwengu wa Michezo ili kupisha vipindi na mawaidha ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nakukaribisha kwa moyo mkunjufu nikupashe yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita. Nakusihi tuandamane sote hadi tamati ya kipindi.

  • FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    May 14, 2016 06:00

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.

  • FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    May 14, 2016 05:44

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.