-
Wairani walalamikia ujumbe wa Twitter wa rais wa FIFA
Jan 08, 2023 02:04Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (FIFA) amekosolewa vikali na watumizi wa mitandao ya kijamii wa Iran kwa kutumia neno bandia wakati wa kutaja Ghuba ya Uajemi.
-
Hatimaye Ronaldo ajiunga na timu ya Al Nassr ya Saudi Arabia
Dec 31, 2022 02:09Mchezaji mahiri wa soka Cristiano Ronaldo amejiunga na klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia kwa mkataba utakaodumu hadi 2025.
-
Rais Samia amlilia Pele, atuma salamu za pole Brazil
Dec 31, 2022 01:47Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameungana wanasiasa na wanasoka kote duniani kuomboleza kifo cha Pele.
-
CAF: Pele atakumbukwa daima barani Afrika
Dec 31, 2022 01:44Patrice Motsepe, Rais wa Shirikisho la Kandanda barani Afrika (CAF) amesema kuwa, nyota wa kandanda Pele, alikuwa na ''msukumo wa kipekee'' kwa bara la Afrika ambao utaishi milele kwenye mioyo ya wapenzi wa mpira wa miguu.
-
Dunia yaendelea kumuomboleza Pele, akumbukwa kwa wema
Dec 30, 2022 04:33Vigogo wa soka na watu mbali mbali duniani wanaendelea kutuma salamu za rambirambi na pole kufuatia kifo cha Pele, mchezaji mashuhuri wa soka wa Brazil ambaye anatajwa kuwa mwanasoka bora zaidi katika historia.
-
Gwiji wa soka duniani, Pele, afariki akiwa na umri wa miaka 82
Dec 29, 2022 23:32Pele, mchezaji mashuhuri wa soka wa Brazil ambaye anatajwa kuwa mwanasoka bora zaidi katika historia, ameaga dunia.
-
Erdogan: Ronaldo alikalishwa benchi Kombe la Dunia kutokana na uungaji mkono kwa Palestina
Dec 26, 2022 08:18Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amedai kuwa nyota wa soka wa Ureno Cristiano Ronaldo alipigwa marufuku ya kisiasa wakati wa michuano ya Kombe la Dunia ya FIFA ya 2022 iliyomalizika hivi karibuni nchini Qatar kwa kuunga mkono Palestina.
-
Ureno yaisasambua Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016
Jul 11, 2016 03:14Ahlan wasahlan wamarhaba mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na hususan ashiki wa spoti natumai huna neno. Baada ya kupezana kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na kupumzishwa kipindi hiki cha Ulimwengu wa Michezo ili kupisha vipindi na mawaidha ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nakukaribisha kwa moyo mkunjufu nikupashe yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita. Nakusihi tuandamane sote hadi tamati ya kipindi.
-
FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu
May 14, 2016 01:30Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.
-
FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu
May 14, 2016 01:14Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.