-
Viongozi wa nchi, nyota wa soka walaani ubaguzi wa rangi aliofanyiwa Vinícius Júnior Uhispania
May 23, 2023 09:36Matusi ya ubaguzi wa rangi yaliyotolewa dhidi ya mwanasoka wa Brazil Vinícius Júnior katika ligi ya soka ya Uhispania yamekosolewa na kulaaniwa vikali na viongozi wa nchi, makocha na nyota mbalimbali wa mchezo huo unaopendwa zaidi duniani kote.
-
Manchester City yaigaragaza Real Madrid na kupiga hodi fainali Klabu Bingwa Ulaya
May 18, 2023 07:32Timu ya soka ya Manchester City ya Uingerezi imefanya vyema kwa kiwango cha hali ya juu na kuwazidi nguvu mabingwa Real Madrid ya Uhispania katika mchezo wa marudio wa nusu ya Klabu Bingwa barani Ulaya.
-
Yanga yapaisha soka la Tanzania Afrika baada ya kutinga fainali
May 18, 2023 07:04Baada ya miongo mitatu, klabu ya Yanga imekuwa timu ya kwanza kutoka Tanzania kutinga fainali ya mashindano makubwa ya vilabu barani Afrika.
-
Sadio Mane akabiliwa na adhabu baada ya kumtandika ngumi mchezaji mwenzake
Apr 13, 2023 12:30Bayern Munich imemsimamisha mshambuliaji Sadio Mane raia wa Senegal baada ya kumpiga usoni mchezaji mwenza Leroy Sane kufuatia kichapo cha Jumanne cha Ligi ya Mabingwa dhidi ya Manchester City.
-
Watu wenye silaha watishia kumuua nyota wa soka duniani Lionel Messi
Mar 03, 2023 03:31Watu wawili wenye silaha wamefyatua risasi zisizopungua kumi na kuacha ujumbe wa vitisho kwa nyota wa soka wa Argentina Lionel Messi katika uvamizi wa duka kubwa linalomilikiwa na wakwe zake mjini Rosario, Argentina. Maafisa wa vyombo vya mahakama wa mji huo wamelielezea tukio hilo lililotokea Alkhamisi asubuhi kuwa ni la kigaidi.
-
Mwanasoka wa Ghana ni miongoni mwa waliofariki katika mitetemeko ya ardhi Uturuki
Feb 19, 2023 03:00Mwanasoka mashuhuri wa Ghana Christian Atsu ni miongoni mwa makumi ya maelfu ya watu waliofariki kufuatia mitetemeko miwili mikubwa ya ardhi nchini Uturuki.
-
Refa aweka historia kwa kutoa 'kadi nyeupe' katika mechi ya soka ya ligi ya Ureno
Jan 23, 2023 09:39Historia ya soka iliwekwa siku ya Jumamosi, wakati kadi nyeupe, ambayo inatumika kuthamini moyo wa kimichezo ilipoonyeshwa kwa mara ya kwanza katika mechi ya ligi nchini Ureno.
-
Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo
Jan 16, 2023 09:02Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimeazimia kupanua zaidi ushirikiano wao katikka nyanja mbalimbalii ukiwemo uga wa michezo.
-
Mjukuu wa Mandela atumia mashindano ya CHAN kutangaza kupigania ukombozi wa Palestina
Jan 16, 2023 02:25Mjukuu wa shujaa wa ukombozi, Nelson Mandela amesisitizia ulazima wa kupigania ukombozi wa Palestina na kupaza sauti za kuungwa mkono taifa hilo madhlumu.
-
Baada ya Kombe la Dunia, wito wa kukombolewa Palestina sasa wasikika katika michuano ya CHAN
Jan 14, 2023 09:32Duru ya saba ya mashindano ya soka ya Mataifa ya Afrika (CHAN) kwa wachezaji wa ligi za ndani barani humo yalifungua pazia lake jana Ijumaa kwa mchuano baina ya wenyeji Algeria na Libya.