-
Kipindi maalumu cha Milaad an-Nabi SAW
Dec 04, 2017 12:03Hizi ni siku za kusherehekea uzawa wa Bwana Mtume Muhammad al-Mustafa (saw). Huku tukikupeni mkono wa pongezi, fanaka na heri kwa mnasaba wa kuwadia siku hizi adhimu na za furaha kubwa, tunakuombeni mujiunge nasi ili tupate kusikiliza kwa pamoja kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba huu, karibuni.
-
Aal Saud; Mzusha Mifarakano na Kizuizi cha Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu
Dec 04, 2017 09:53Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kusikiliza kipindi maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu ambacho maudhui yake inasema: "Aal Saud, mzusha mifarakano na kizuizi cha umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu". Endeleeni basi kunitegea sikio kuanzia awali hadi tamati ya kipindi hiki.
-
Velayati: Umoja na mshikamano wa kukabiliana na uzushaji mifarakano ndilo hitajio la Ulimwengu wa Kiislamu leo hii
Dec 02, 2017 15:05Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema: Umoja na mshikamano wa kukabiliana na uzushaji mifarakano ndilo hitajio la Ulimwengu wa Kiislamu leo hii.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Umma wa Kiislamu ukabiliane kwa nguvu na maadui
Dec 01, 2017 15:42Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ametoa salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia Maulid ya Mtume Muhammad SAW na Wiki ya Umoja wa Kiislamu na kuongeza kuwa: "Waislamu wa madhehebu ya Kisunni na Kishia, wanapaswa kuungana na kuwa na mshikamano na wasimame kidete kupambana na adui wao wa pamoja katika ulimwengu wa Kiislamu."
-
Kongamano la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu
Dec 01, 2017 15:33Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema, kongamano la kila mwaka la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Umuhimu wa mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama mjini Beirut
Nov 02, 2017 04:09Mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama ulianza hapo jana Jumatano katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kwa kaulimbiu ya "Umoja kwa ajili ya Palestina-Israel inaelekea kutoweka".
-
Siku ya Kimataifa ya Quds, fursa ya kuimarisha umoja wa ulimwengu wa Kiislamu
Jun 23, 2017 08:22Makundi ya Kipalestina yameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni fursa kwa ajili ya kukabiliana na hatari zinazoukabili mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds na kuimarisha umoja wa ulimwengu wa Kiarabu na Kiislamu kupitia muqawama na mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (4)
Mar 12, 2017 16:32Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa, umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu, pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya nne.
-
Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (3)
Mar 12, 2017 16:29Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa, umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu, pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya tatu.
-
Palestina; kadhia ya umoja na kipaumbele cha awali cha Ulimwengu wa Kiislamu
Feb 22, 2017 08:04Msemaji wa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesema kuwa ujumbe mkuu wa kufanyika mkutano huo hapa Tehran ni kudhihirisha suala la Palestina kama kadhia ya awali inayouhusu Ulimwengu wa Kiislamu.