-
Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (2)
Feb 21, 2017 08:27Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu
Feb 16, 2017 04:07Ayatulla Mohsen Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema, mapenzi kwa Ahlul Bayt wa Mtume Muhammad SAW ni chimbuko la umoja wa umma wa Kiislamu.
-
Umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu (1)
Feb 07, 2017 10:54Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu. Endeleeni kuwa nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya kwanza.
-
Mottaki: Umoja wa Waislamu unawatia kiwewe maadui
Jan 07, 2017 07:17Naibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu katika masuala ya Iran amesema umoja na mshikamano wa Waislamu umewakosesha usingizi maadui wa dini hii tukufu.
-
Ayatullah Subhani asisitiza umoja wa Waislamu ili kung'oa mizizi ya utakfiri
Dec 19, 2016 14:46Mmoja wa marajii taqlidi katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuungana na kuwa kitu kimoja maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu ili kutokomeza mizizi ya matakfiri duniani.
-
Mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza leo mjini Tehran
Dec 15, 2016 05:29Duru ya 31 ya mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia, wanazuoni na wanafikra kutoka nchi mbalimbali duniani.
-
Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran
Dec 14, 2016 04:25Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa kila mwaka wa Umoja wa Kiislamu utafanyika wiki hii mjini Tehran.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu
Dec 12, 2016 10:43Assalamu Alaykum Wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya makala hizo zinazokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume Muhammad (saw). Kipindi chetu leo kitazungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na fikra ya umoja baina ya Waislamu.
-
Umoja katika mtazamo wa wanazuoni wa Kisuni
Dec 12, 2016 08:00Wanazuoni wengi wa Kisuni sambamba na wenzao wa Kishia wamekuwa wakitoa wito wa kuwepo umoja katika Umma wa Kiislamu na kutahadharisha dhidi ya madhara ya mifarakano katika umma wa huu. Katika kipindi hiki na kwa mnasaba wa kuwadia Wiki ya Umoja wa Kiislamu tutachunguza baadhi ya mitazamo ya wanazuoni wa Kisuni kuhusiana na suala zima la umoja wa madhehebu ya Kiislamu.
-
Mkutano wa Umoja wa Kiislamu wafanyika Ivory Coast
Dec 05, 2016 15:00Mkutano wa kwanza wa Umoja wa Kiislamu umefanyika nchini Ivory Coast ukiwashirikisha wahadhiri wa vyuo vikuu, wanachuo na wanafunzi wa shule za Kiislamu nchini humo mjini Abidjan.