• Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (4)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (4)

    Mar 12, 2017 13:02

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa, umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu, pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya nne.

  • Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (3)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (3)

    Mar 12, 2017 12:59

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa, umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu, pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya tatu.

  • Palestina; kadhia ya umoja na kipaumbele cha awali cha Ulimwengu wa Kiislamu

    Palestina; kadhia ya umoja na kipaumbele cha awali cha Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 22, 2017 04:34

    Msemaji wa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesema kuwa ujumbe mkuu wa kufanyika mkutano huo hapa Tehran ni kudhihirisha suala la Palestina kama kadhia ya awali inayouhusu Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (2)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (2)

    Feb 21, 2017 04:57

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Feb 16, 2017 00:37

    Ayatulla Mohsen Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema, mapenzi kwa Ahlul Bayt wa Mtume Muhammad SAW ni chimbuko la umoja wa umma wa Kiislamu.

  • Umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu (1)

    Umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu (1)

    Feb 07, 2017 07:24

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi, la umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu. Endeleeni kuwa nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya kwanza.

  • Mottaki: Umoja wa Waislamu unawatia kiwewe maadui

    Mottaki: Umoja wa Waislamu unawatia kiwewe maadui

    Jan 07, 2017 03:47

    Naibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu katika masuala ya Iran amesema umoja na mshikamano wa Waislamu umewakosesha usingizi maadui wa dini hii tukufu.

  • Ayatullah Subhani asisitiza umoja wa Waislamu ili kung'oa mizizi ya utakfiri

    Ayatullah Subhani asisitiza umoja wa Waislamu ili kung'oa mizizi ya utakfiri

    Dec 19, 2016 11:16

    Mmoja wa marajii taqlidi katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuungana na kuwa kitu kimoja maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu ili kutokomeza mizizi ya matakfiri duniani.

  • Mkutano wa kimataifa wa  Umoja wa Kiislamu umeanza leo mjini Tehran

    Mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza leo mjini Tehran

    Dec 15, 2016 01:59

    Duru ya 31 ya mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia, wanazuoni na wanafikra kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran

    Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran

    Dec 14, 2016 00:55

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa kila mwaka wa Umoja wa Kiislamu utafanyika wiki hii mjini Tehran.