Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Aug 05, 2022 03:43

    Vikosi vya jeshi la Rwanda viliwashambulia askari ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na vililisaidia na kulipatia na silaha kundi la waasi wa M23.

  • UN yasikitishwa na hatua ya DRC kumtimua msemaji wa MONUSCO

    UN yasikitishwa na hatua ya DRC kumtimua msemaji wa MONUSCO

    Aug 04, 2022 20:44

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali hatua ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kumfukuza nchini humo msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa MONUSCO.

  • UN: Teknolojia ya intaneti inatumiwa vibaya katika Usafrishaji Haramu wa Binadamu

    UN: Teknolojia ya intaneti inatumiwa vibaya katika Usafrishaji Haramu wa Binadamu

    Jul 31, 2022 07:04

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, migogoro, janga la tabianchi, ukosefu wa usawa na umasikini huwaacha mamilioni ya watu katika hatari ya wahalifu wanaotumia vibaya mtandao kuwahadaa waathiriwa wa Usafirishaji Haramu wa Binadamu kwa ahadi za uwongo.

  • Waandamanaji DRC wavamia ofisi za UN, wataka kuondoka askari wa MONUSCO

    Waandamanaji DRC wavamia ofisi za UN, wataka kuondoka askari wa MONUSCO

    Jul 25, 2022 23:05

    Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshambulia makao makuu ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO katika mji wa Goma, makao makuu ya mkoa uliogubikwa na machafuko wa Kivu Kaskazini ambao unapakana na Rwanda na Uganda.

  • Kusainiwa mkataba wa mauzo ya nafaka kutoka Ukraine, mwanzo wa kutatua mgogoro wa chakula duniani

    Kusainiwa mkataba wa mauzo ya nafaka kutoka Ukraine, mwanzo wa kutatua mgogoro wa chakula duniani

    Jul 23, 2022 06:42

    Jana Ijumaa, Ukraine, Uturuki na Umoja wa Mataifa zilitia saini makubaliano ya kutatua mgogoro wa nafaka duniani. Mkataba huo ulitiwa saini kati ya Oleksandr Kubrakov, Waziri wa Miundombinu wa Ukraine, Kholusi Akar Waziri wa Ulinzi wa Uturuki, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergei Shoigu.

  • Mgogoro wa chakula ulimwenguni  kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka

    Mgogoro wa chakula ulimwenguni kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka

    Jul 23, 2022 02:23

    Russia na Ukraine zimesaini mapatano pamoja na Umoja wa Mataifa na Uturuki kuhusu kuanza tena usafirishaji wa nafaka huku kukiwa na matumaini kuwa makubaliano hayo yatapunguza shida ya chakula ulimwenguni.

  • Mali yamtimua msemaji wa kikosi cha UN nchini humo, MINUSMA

    Mali yamtimua msemaji wa kikosi cha UN nchini humo, MINUSMA

    Jul 21, 2022 06:31

    Mali imemfukuza msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo (MINUSMA), huku uhusiano baina ya Bamako na UN ukizidi kuharibika.

  • UN yalaani wimbi la hujuma dhidi ya raia mashariki mwa Kongo DR

    UN yalaani wimbi la hujuma dhidi ya raia mashariki mwa Kongo DR

    Jul 14, 2022 21:59

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amelaani wimbi la mashambulio yanayofanywa na wanamgambo wa Allied Democratic Forces (ADF) dhidi ya raia katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mauaji na utekaji nyara wa watoto kwenye maeneo ya vita vilishamiri 2021

    Mauaji na utekaji nyara wa watoto kwenye maeneo ya vita vilishamiri 2021

    Jul 12, 2022 03:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema mwaka 2021 ulishuhudia mchanganyiko wa mwendelezo hatari wa mizozo, mapinduzi ya kijeshi sambamba na mizozo mipya na ile iliyodumu muda mrefu na ukiukwaji mkubwa wa sheria za kimataifa, vyote ambavyo kwa pamoja vimekuwa na madhara makubwa kwa watoto duniani kote.

  • Mali yakataa wito wa UN kuhusu madai ya ukiukaji haki za binadamu

    Mali yakataa wito wa UN kuhusu madai ya ukiukaji haki za binadamu

    Jul 01, 2022 03:32

    Serikali ya Mali imesema haitaufanyia kazi wito wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kuitaka iruhusu wanajeshi wa kulinda amani wasafiri ndani ya nchi hiyo kwa uhuru ili kuchunguza visa vya ukiukwaji wa haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS