Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Aug 31, 2022 02:42

    Mkuu wa Siasa wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, kutotatuliwa mgogoro wa kisiasa wa Libya na kutofanyika uchaguzi uliocheleweshwa ni tishio kwa hali ya mambo katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Takwa la Umoja wa Mataifa la kuungwa mkono wakimbizi Waislamu wa Rohingya

    Takwa la Umoja wa Mataifa la kuungwa mkono wakimbizi Waislamu wa Rohingya

    Aug 27, 2022 07:50

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh.

  • UN yataka dunia iwasaidie wakimbizi Waislamu wa Rohingya

    UN yataka dunia iwasaidie wakimbizi Waislamu wa Rohingya

    Aug 26, 2022 02:55

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh.

  • UN yalaani kufungwa jela miaka 34 mwanaharakati mwanamke Saudia

    UN yalaani kufungwa jela miaka 34 mwanaharakati mwanamke Saudia

    Aug 21, 2022 23:55

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limekosoa hatua ya watawala wa Saudi Arabia ya kumpa hukumu nzito mwanaharakati mwanamke kutokana na ujumbe wake wa Twitter.

  • WFP: Njaa inatishia maisha ya watu milioni 22 barani Afrika

    WFP: Njaa inatishia maisha ya watu milioni 22 barani Afrika

    Aug 21, 2022 02:28

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP limessema kuwa hivi sasa watu milioni 22 barani Afrika wako kwenye hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa.

  • UN: Utumwa mamboleo umekita mizizi kote duniani

    UN: Utumwa mamboleo umekita mizizi kote duniani

    Aug 18, 2022 23:34

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusiana na kuongezeka maafa ya utumwa mamboleo katika maeneo mbalimbali duniani.

  • UN: Tunahitaji dola milioni 73 kuwasaidia kwa chakula wakimbizi wa ndani Ethiopia

    UN: Tunahitaji dola milioni 73 kuwasaidia kwa chakula wakimbizi wa ndani Ethiopia

    Aug 10, 2022 03:33

    Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Ethiopia wametoa ombi la kupatiwa dola milioni 73 ili kuweza kuendelea na utoaji msaada wa chakula kwa wakimbizi 750,000 walioko nchini humo katika kipindi cha miezi sita ijayo.

  • Wataalamu wa UN: Askari 'wazungu' walihusika na mauaji ya raia 33 Mali

    Wataalamu wa UN: Askari 'wazungu' walihusika na mauaji ya raia 33 Mali

    Aug 06, 2022 06:26

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema vikosi vya jeshi la Mali vilishirikiana na 'askari wazungu' katika operesheni iliyopelekea makumi ya raia kuuawa karibu na mpaka wa Mauritania mnamo Machi mwaka huu.

  • Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Aug 05, 2022 03:43

    Vikosi vya jeshi la Rwanda viliwashambulia askari ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na vililisaidia na kulipatia na silaha kundi la waasi wa M23.

  • UN yasikitishwa na hatua ya DRC kumtimua msemaji wa MONUSCO

    UN yasikitishwa na hatua ya DRC kumtimua msemaji wa MONUSCO

    Aug 04, 2022 20:44

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali hatua ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kumfukuza nchini humo msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa MONUSCO.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS