Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Onyo la mashirika 4 ya Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya usalama wa chakula duniani

    Onyo la mashirika 4 ya Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya usalama wa chakula duniani

    Apr 14, 2022 02:52

    Benki ya Dunia, Shirika la Biashara Duniani, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa na Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa zimeonya kuwa usalama wa chakula duniani uko hatarini na kwamba nchi zote zinapaswa kuchukua hatua maalumu kudhamini chakula kwa watu wao.

  • Ershadi: Ugaidi na uvamizi wa kigeni ni vitisho vikubwa kwa usalama wa wanawake

    Ershadi: Ugaidi na uvamizi wa kigeni ni vitisho vikubwa kwa usalama wa wanawake

    Apr 14, 2022 02:31

    Zahra Ershadi, balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa: "Kuzikalia kwa mabavu ardhi za mataifa mengine, uvamizi wa kigeni na ugaidi ndio vitisho vikuu kwa usalama wa wanawake katika Asia Magharibi."

  • UN: Tunatumai uthabiti na usalama utarejea nchini Somalia karibuni

    UN: Tunatumai uthabiti na usalama utarejea nchini Somalia karibuni

    Apr 13, 2022 03:18

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ana matumaini ya kurejeshwa uthabiti, amani na usalama nchini Somalia haraka iwezekanavyo.

  • Sana'a: UN ihitimishe ukiukaji mkubwa wa usitishaji vita wa muungano Saudia

    Sana'a: UN ihitimishe ukiukaji mkubwa wa usitishaji vita wa muungano Saudia

    Apr 11, 2022 03:47

    Mkuu wa timu ya mazungumzo ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen ametaka kuhitimishwa ukiukaji wa usitishaji vita huko Yemen unaofanywa na muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • UN yapasisha azimio kulaani jinai za Israel eneo la Golan

    UN yapasisha azimio kulaani jinai za Israel eneo la Golan

    Apr 02, 2022 22:21

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio lililoukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa jinai ulizozifanya katika Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Iran na EU zajadili masuala yaliyosalia katika mazungumzo ya Vienna

    Iran na EU zajadili masuala yaliyosalia katika mazungumzo ya Vienna

    Mar 27, 2022 07:59

    Kiongozi wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna, Ali Baqeri Kani amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Enrique Mora, mratibu wa mazungumzo ya Vienna, ambapo wamejadili hatua zilizopigwa na masuala yaliyosalia katika mazungumzo hayo yanayofanyika huko Austria.

  • UN: Jamii ya Kimataifa ndiyo inayobeba dhima ya 'Apatheid' ya utawala wa Kizayuni

    UN: Jamii ya Kimataifa ndiyo inayobeba dhima ya 'Apatheid' ya utawala wa Kizayuni

    Mar 26, 2022 22:01

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kuendelea kuweko mfumo wa ubaguzi wa rangi aina ya Apatheid unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina, sababu yake ni udhaifu wa jamii ya kimataifa na jamii hiyo ndiyo iliyopelekea kutokea ubaguzi huo.

  • Guterres: Watoto wasiopungua elfu kumi wameuawa katika vita vya Yemen

    Guterres: Watoto wasiopungua elfu kumi wameuawa katika vita vya Yemen

    Mar 17, 2022 05:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema katika mkutano wa video kuhusu uchangishaji fedha kwa ajili ya Yemen kwamba takriban watoto 10,000 wameuawa katika vita vya Yemen.

  • UN yaitangaza Machi 15 Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    UN yaitangaza Machi 15 Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 16, 2022 04:02

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la "Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamopohobia).

  • Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa UN alaani mauaji makubwa ya wafungwa Saudi Arabia

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa UN alaani mauaji makubwa ya wafungwa Saudi Arabia

    Mar 15, 2022 04:46

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet ametoa maoni yake kuhusu kunyongwa kwa watu 81 nchini Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS