Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Mkutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza Nairobi

    Dec 04, 2017 03:41

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Miroslav Lajčák aliyeko ziarani nchini Kenya, amesema maendeleo hayapaswi kusababisha uharibifu wa mazingira.

  • Marekani yajiondoa katika Mkataba wa Kimataifa wa Uhamiaji

    Marekani yajiondoa katika Mkataba wa Kimataifa wa Uhamiaji

    Dec 04, 2017 03:09

    Serikali ya Marekani imetangaza kuwa, nchi hiyo imejiondoa katika Mkataba wa Kimataifa wa Uhamiaji unaoshughulikia masuala ya kuboresha na kusimamia masuala ya wahajiri na wakimbizi.

  • UN yataka kusitishwa mashambulizi ya Saudia dhidi ya Yemen

    UN yataka kusitishwa mashambulizi ya Saudia dhidi ya Yemen

    Dec 03, 2017 23:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya anga na nchi kavu yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya watu wa Yemen na kuanza tena kuingizwa bidhaa za kibiashara nchini humo.

  • Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 08:10

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • UNICEF: Mtoto mmoja hufariki dunia kila baada ya dakika kumi nchini Yemen, Saudia yaendeleza mauaji

    UNICEF: Mtoto mmoja hufariki dunia kila baada ya dakika kumi nchini Yemen, Saudia yaendeleza mauaji

    Nov 27, 2017 04:41

    Mkurugenzi wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa katika Kanda wa Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika amesema kuwa Yemen inayoendelea kushambuliwa na Saudi Arabia na washirika wake ndiyo eneo baya zaidi kwa watoto duniani na kwamba zaidi ya watoto milioni 11 wa Yemen wanaishi katika hali mbaya na ya kusikitisha.

  • Waasi wa Kikristo wa Anti Balaka waua askari wa UN na kujeruhi wengine kadhaa CAR

    Waasi wa Kikristo wa Anti Balaka waua askari wa UN na kujeruhi wengine kadhaa CAR

    Nov 27, 2017 04:40

    Wapiganaji wa kundi la Kikristo la Anti barala wameua askari mmoja wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kujeruhi wengine watatu.

  • Askari 3 wa UN na mmoja wa Mali wauawa karibu na mpaka wa Niger

    Askari 3 wa UN na mmoja wa Mali wauawa karibu na mpaka wa Niger

    Nov 24, 2017 23:20

    Askari watatu wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Mali MINUSMA na mwanajeshi wa serikali wameuawa baada ya kuviziwa na kushambuliwa ghafla na genge moja la kigaidi huko kaskazini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Niger.

  • UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea

    UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea

    Nov 24, 2017 12:22

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema hali katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar sio shwari kuweza kuwapokea malaki ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbilia nchini Bangladesh.

  • UN: Ukatili wa kingono dhidi ya wanawake na wasichana wa Myanmar ni jinai za kivita

    UN: Ukatili wa kingono dhidi ya wanawake na wasichana wa Myanmar ni jinai za kivita

    Nov 23, 2017 10:52

    Umoja wa Mataifa umesema ukatili wa kingono uliofanywa na Jeshi la Myanmar dhidi ya wanawake na wasichana Waislamu wa jamii ya Rohingya katika mkoa wa Rakhine ni jinai za kivita.

  • Baada ya Mugabe kujiuzulu, Umoja wa Mataifa wawataka Wazimbabwe kudumisha utulivu

    Baada ya Mugabe kujiuzulu, Umoja wa Mataifa wawataka Wazimbabwe kudumisha utulivu

    Nov 22, 2017 04:31

    Umoja wa Mataifa umewataka wananchi wa Zimbabwe kudumisha amani na utulivu katika kipindi hiki baada ya Rais Robert Mugabe kutangaza kujiuzulu hapo jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS